LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
maombi yote yatajibiwa kwa kuzingatia gharama za maandalizi ya uchaguzi zilizotumika, athari na hasara za kutofanyika uchaguzi huo na hatua ya maandalizi ya uchaguzi huo iliyofikiwa,

nadhani uamuzi wenye maelezo ya kina utatolewa baada ya uchaguzi wenyewe November,2024...
na wito wa mapendekezo ya marekebisho utaambatanishwa kwajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo..
Hiki ndiyo kiwango cha akili za watu hawa. Inasikitisha sana.

Hivi kweli mnawachukulia waTanzania kuwa wapumbavu kiasi hiki? Hata kama ni mzaha unafanya, mzaha wa aina hii unakufanya uonekane juha kweli kweli.

Kuna wakati natamani utumie tu akili zako za kawaida ili tuweze kujadiliana vizuri kuhusu mstakabali wa nchi yetu, lakini unapo jifanya kuwa na akili za kishetani namna hii haiwezekani kamwe kukuchukulia wewe na umakini unao stahili kwenye majadiliano mazito
Hivi kweli, unapo andika upumbavu wa namna hii humu JF unategemea kweli watu wenye akili timamu wakusome na kukuelewa?

Kama unaweka takataka hizi kuwafurahisha wapumbavu wenzako, ambao mpo pamoja humu JF kwa kazi za aina hii, inawasaidia kitu gani nyinyi na hao wanao watuma?
 
Mambo moto, tuna test kama mhimili wa serikali kuu na mhimili wa mahakama wapo kwa ajili ya taifa la haki.
Ni 'test' nzuri.
Lakini ikionekana mahakama bado ni tawi la watawala; itabidi sasa pawepo na Plan B ya kuyakabili haya ya uchaguzi bandiya ulio pangwa kufanyika chini ya sheria hizo.

Hawa CCM sasa wanalilia sana damu za waTanzania hawa.
 
Hiki ndiyo kiwango cha akili za watu hawa. Inasikitisha sana.

Hivi kweli mnawachukulia waTanzania kuwa wapumbavu kiasi hiki? Hata kama ni mzaha unafanya, mzaha wa aina hii unakufanya uonekane juha kweli kweli.

Kuna wakati natamani utumie tu akili zako za kawaida ili tuweze kujadiliana vizuri kuhusu mstakabali wa nchi yetu, lakini unapo jifanya kuwa na akili za kishetani namna hii haiwezekani kamwe kukuchukulia wewe na umakini unao stahili kwenye majadiliano mazito
Hivi kweli, unapo andika upumbavu wa namna hii humu JF unategemea kweli watu wenye akili timamu wakusome na kukuelewa?

Kama unaweka takataka hizi kuwafurahisha wapumbavu wenzako, ambao mpo pamoja humu JF kwa kazi za aina hii, inawasaidia kitu gani nyinyi na hao wanao watuma?
Huyu unaweza kukuta ni DC au DAS
 
Maombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;

1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;

2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;

3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.

View attachment 3075734

View attachment 3075744

Kweli kupambana na Mkoloni mweusi ni kazi kubwa zaidi ya kupambana na. Mkoloni mweupe.
 
Una zani tamisemi inazuia usishinde tuwaangalie mawakala wa nao wekwa na kila chama wengine wanakuwa wananjaa wempaka ijioni wanna chupa ya maji tu chukula awaja nunuliwa sasa apo una semaje
Kila mtu atafikiwa kwa wakati wake, wacha inyeshe kwanza tuone panapovuja 🤣
 
Una zani tamisemi inazuia usishinde tuwaangalie mawakala wa nao wekwa na kila chama wengine wanakuwa wananjaa wempaka ijioni wanna chupa ya maji tu chukula awaja nunuliwa sasa apo una semaje
Samahani usikasirike, uandishi wako umenivutia sana, sijui mwenzetu shule uliishia darasa la ngapi?
 
Maombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;

1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;

2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;

3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.

View attachment 3075734

View attachment 3075744
Kumekuchaa ,
 
Anadhani kikaratasi alichopewa chuo kikuu na law school kina nguvu hivyo
 
Watawala wakiendelea kuwa viziwi, nakuona watz ni walewale au biashala ni ileile , Mungu anionesha mambo makubwa na yakushangaza sana yanaenda kutokea .

Tunatokaje hapa ,ni swala la watawala acha ubinafsi ,kiburi na kuelewa kwamba tz ni yetu wote na kila mmoja yupo na mchango juu ya taifa hili kutoka sehem moja kwenda pengine ,tuache tamaa za vyeo bali tufikili kesho ya taifa hili ambapo wengi wetu tutakua tumefukiwa.

Nchi inaweza kulipuka hii dalili sio nzuri na tukifika hapo hakuna alie salama bila kujali cheo, pesa n.k
 
Hiki ndiyo kiwango cha akili za watu hawa. Inasikitisha sana.

Hivi kweli mnawachukulia waTanzania kuwa wapumbavu kiasi hiki? Hata kama ni mzaha unafanya, mzaha wa aina hii unakufanya uonekane juha kweli kweli.

Kuna wakati natamani utumie tu akili zako za kawaida ili tuweze kujadiliana vizuri kuhusu mstakabali wa nchi yetu, lakini unapo jifanya kuwa na akili za kishetani namna hii haiwezekani kamwe kukuchukulia wewe na umakini unao stahili kwenye majadiliano mazito
Hivi kweli, unapo andika upumbavu wa namna hii humu JF unategemea kweli watu wenye akili timamu wakusome na kukuelewa?

Kama unaweka takataka hizi kuwafurahisha wapumbavu wenzako, ambao mpo pamoja humu JF kwa kazi za aina hii, inawasaidia kitu gani nyinyi na hao wanao watuma?
zingatia maelezo na kama ni mzaha subiria muda ufike,

na muhimu zaidi jitahidi kujiepusha na muweweseko wa mapema gentleman 🐒
 
jambo hili ni rahisi mno na hasa ukizingatia waleta maombi ni wazalendo lakini pia ni mawakili wangwana sana humu nchini,

maombi yote yatajibiwa kwa kuzingatia gharama za maandalizi ya uchaguzi zilizotumika, athari na hasara za kutofanyika uchaguzi huo na hatua ya maandalizi ya uchaguzi huo iliyofikiwa,

nadhani uamuzi wenye maelezo ya kina utatolewa baada ya uchaguzi wenyewe November,2024...
na wito wa mapendekezo ya marekebisho utaambatanishwa kwajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo.... :pulpTRAVOLTA:
Abracadabra kama kawaida yake !!
Episodes zinaendelea !
Na hili nalo litapita, Right ?
 
jambo hili ni rahisi mno na hasa ukizingatia waleta maombi ni wazalendo lakini pia ni mawakili wangwana sana humu nchini,

maombi yote yatajibiwa kwa kuzingatia gharama za maandalizi ya uchaguzi zilizotumika, athari na hasara za kutofanyika uchaguzi huo na hatua ya maandalizi ya uchaguzi huo iliyofikiwa,

nadhani uamuzi wenye maelezo ya kina utatolewa baada ya uchaguzi wenyewe November,2024...
na wito wa mapendekezo ya marekebisho utaambatanishwa kwajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo.... :pulpTRAVOLTA:
Lakini hizo gharama zilizotumika hazitakuwa na maana kufanya uchaguzi bandia usio na maana. Ni hasara pesa iliyotumika kwenye maandalizi ipotee, LAKINI ni hasara zaidi kufanya kitu kisichokuwa na maana wala uhalali halagu kiwe mzigo kwa miaka mitano inayo.
 
Lakini hizo gharama zilizotumika hazitakuwa na maana kufanya uchaguzi bandia usio na maana. Ni hasara pesa iliyotumika kwenye maandalizi ipotee, LAKINI ni hasara zaidi kufanya kitu kisichokuwa na maana wala uhalali halagu kiwe mzigo kwa miaka mitano inayo.
ni muhimu kua wazalendo wastahimilivu na wenye subra kwenye jambo hili muhimu sana kwa Taifa, ambalo halina haja ya malumbano sana wala hofu yoyote tunapoelekea uchaguzi muhimu sana wa serikali za mitaa nov.27,2024. asiwepo mtu akasitisha maandalizi ya uchaguzi ya taasisi yake kwasababu ya jambo hilli jepesi sana :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom