LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Najuwa, huyo unaye muita "...kiongozi wenu makini, shupavu na kipenzi chenu..." (siyo cha waTanzania), ndiye mungu wako anayekulazimisha kuja humu kila siku na kuweka takataka kama hizi.
Najuwa pia kwamba mnayo hofu kubwa sana sasa hivi kwa sababu mnaiona njia ya kuwaondoa madarakani ipo dhahiri kabisa.
Sasa basi, kama huko kichwani mwako bado kuna viakaili kidogo, nakushauri jambo muhimu hapa. Msithubutu kumwaga damu ya waTanzania wakati mking'ang'ania kubaki madarakani. Mkilazimisha hivyo yatawakuta makubwa.

Ngoja nimalize kwa kukufahamisha pia,kwamba napoteza muda mara kadhaa kukujibu hivi kwa sababu nategemea akili itawarudi na kuacha ushetani mnao ushikilia kulazimisha kubaki madarakani..

Baada ya hapa, nitaendelea na majibu yanayo kustahili kama kawaida. yako.
Namshukuru Mungu kwa kinijibu maombi yangu kwako, na kwamba nafurahi hauporomoshi matusi mazito mazito tena..

naona bado kuna element za mihemko, unyonge na kutia huruma bado uko nazo, nitakuombea Baraka na Neema za Mungu ziambatane na kuandamana nawe katika maeneo hayo ndani ya moyo na akili yako, amen?

hata hivyo,
ni vizuri ikaeleweka vizuri kwamba nchi yetu ni ya Kidemokrasia, inayofuata misingi ya utawala wa sheria, katiba na utawala bora...

hakuna mahali nchini,
wahalifu wanaweza kupata nafasi ya kuvuruga au kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi nchini..

vyombo vya ulinzi na usalama nchini,
viko tayari kushirikiana na raia wema wote nchini wenye taarifa zozote zitakazosaidia kutiwa nguvuni kwa wahalifu wa aina yoyote...

ni muhimu sana kuzingatia sheria bila shuruti kwa amani na usalama wako binafsi 🐒
 
Namshukuru Mungu
Huyo mungu wako ni shetani, hilo nilisha kueleza siku nyingi, lakini huwezi kuelewa kwa vile wewe mwenyewe ni shetani.
Unakuja hapa kwa kutumia Umungu kinafiki, ukidhani na yeye utamdanganya? Ni akili gani hizi.
 
hakuna mahali nchini,
wahalifu wanaweza kupata nafasi ya kuvuruga au kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi nchini..
Wahalifu sasa hivi wanajulikana, ni kundi lenu, wewe ukiwa mmoja wao. Mnatumia vyombo vya dola kufanya uhalifu.
Lakini unakuja hapa kujaza uchafu humu JF sijui kwa faida gani? Kila mwenye kujua tayari anajuwa wahalifu ni akina nani.
 
ni vizuri ikaeleweka vizuri kwamba nchi yetu ni ya Kidemokrasia, inayofuata misingi ya utawala wa sheria, katiba na utawala bora..
Wewe unadhani kurudia rudia maneno ambayo nyinyi wenyewe hamuyaamini kutabadili kitu? Ni nani asiye juwa kuwa nyinyi ni wahalifu. Majambazi yanayovaa suti yatabaki kuwa majambazi tu; ndivyo mlivyo nyinyi, na watu wamekwisha wastukia zamani. Lugha zote za kejeli na kilaghai sasa hakuna anaye zitilia maanani tena.
 
Wewe unadhani kurudia rudia maneno ambayo nyinyi wenyewe hamuyaamini kutabadili kitu? Ni nani asiye juwa kuwa nyinyi ni wahalifu. Majambazi yanayovaa suti yatabaki kuwa majambazi tu; ndivyo mlivyo nyinyi, na watu wamekwisha wastukia zamani. Lugha zote za kejeli na kilaghai sasa hakuna anaye zitilia maanani tena.
acha ugoro, unakuharibu gentleman 🐒
 
"Sure" kitu gani?
Sasa una weweseka tu na kujisemea maneno hovyo hovyo?
na hiyo sio bangi, ni ugoro, tafadhali achana nayo hiyo,
nilikuombea ukaachana na kuporomosha matusi...

hii ya ugoro ng'ang'ana nayo uache sawa gentleman?🐒
 
"Sure" kitu gani?
Sasa una weweseka tu na kujisemea maneno hovyo hovyo?
na hiyo sio bangi, ni ugoro, tafadhali achana nayo hiyo,
nilikuombea ukaachana na kuporomosha matusi...

hii ya ugoro ng'ang'ana nayo uache sawa gentleman?🐒
 
na hiyo sio bangi, ni ugoro, tafadhali achana nayo hiyo,
nilikuombea ukaachana na kuporomosha matusi...

hii ya ugoro ng'ang'ana nayo uache sawa gentleman?🐒
Uchizi, ushetani, uvutaji wa bangi na kila sifa mbaya unazo wewe kutokana na tabia unazo onyesha humu jF. Hilo lipo wazi.
 
"Sure" kitu gani?
Sasa una weweseka tu na kujisemea maneno hovyo hovyo?
na hiyo sio bangi, ni ugoro, tafadhali achana nayo hiyo,
nilikuombea ukaachana na kuporomosha matusi...

hii ya ugoro ng'ang'ana nayo uache sawa gentleman?🐒
 
na hiyo sio bangi, ni ugoro, tafadhali achana nayo hiyo,
nilikuombea ukaachana na kuporomosha matusi...

hii ya ugoro ng'ang'ana nayo uache sawa gentleman?🐒
Usidhani nitaachana nawe. Nipo tu humu kwa kadri ya utakavyo kuwa tayari kuendelea kuwa humu na kuweka uchafu. Sikuachi ng'o!
 
Usidhani nitaachana nawe. Nipo tu humu kwa kadri ya utakavyo kuwa tayari kuendelea kuwa humu na kuweka uchafu. Sikuachi ng'o!
🤣🤣sasa wew utafanya nn gentleman 🤣
 
Ngoja tusikia na kuona weledi wa Jaji.

Bob Wangwe tayari yuko supported na Uamzi wa Mahakama ya Afrika iliyoagiza Mamlaka za Tanzania kubadili vifungu vya sheria ya uchaguzi ikiwemo kufuta Wazimamizi kuwa Wanachama wa ccm au wateule wa Rais ambaye naye ni mgombea.

Tunahitaji vijana wenye weledi kama hawa.
Mkuu kumbuka tz SI monist state
So precedent hii haita kuwa binding
 
Back
Top Bottom