LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
jambo hili ni rahisi mno na hasa ukizingatia waleta maombi ni wazalendo lakini pia ni mawakili wangwana sana humu nchini,

maombi yote yatajibiwa kwa kuzingatia gharama za maandalizi ya uchaguzi zilizotumika, athari na hasara za kutofanyika uchaguzi huo na hatua ya maandalizi ya uchaguzi huo iliyofikiwa,

nadhani uamuzi wenye maelezo ya kina utatolewa baada ya uchaguzi wenyewe November,2024...
na wito wa mapendekezo ya marekebisho utaambatanishwa kwajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo.... :pulpTRAVOLTA:
Unaandika takataka we chawa
Yaani tupindishe haki za wengi kisa gharama no haiwezekani

Mbona hamsemi gharama ya hela inayoptea kwenye ripoti ya CAG
 
Unaandika takataka we chawa
Yaani tupindishe haki za wengi kisa gharama no haiwezekani

Mbona hamsemi gharama ya hela inayoptea kwenye ripoti ya CAG
mihemko yann sasa gentleman na huna hoja?

Yote yanawezeana kwa Neema na Baraka za Mungu tu gentleman :pedroP:
 
Wana-Group wote mliopo hapa jukwaani na raia wengine tunawaalika kesho kwenye Kesi ya Kupinga Uchaguzi wa Serikali za Vijiji, Kamati za Mitaa na Wenyeviti wa Vitongoji kusimamiwa na Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iliyopangwa kwa mara ya kwanza kutajwa kesho saa 8 mchana Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.

Kesi itakuwa mbele ya Jaji Dyansobera.

KARIBUNI WOTE
Safi sana ili waliopo waendelee kuongoza mpaka pale sheria itakapo fanyiwa marekebisho...Wanasheria bwana....wetu bhana mnataka sana kiki mjue aisee. Hivi mnajua usheria wenu inabidi mkahutumie je na wapi?
 
Unaandika takataka we chawa
Yaani tupindishe haki za wengi kisa gharama no haiwezekani

Mbona hamsemi gharama ya hela inayoptea kwenye ripoti ya CAG
Huyo mjinga mimi nilishampiga tofali kitambo
 
Maombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;

1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;

2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;

3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.

View attachment 3075734

View attachment 3075744
Bado habari aijakamilika....ongezea kua mawakili wa CHADEMA na wanachama wa CHADEMA
 
Back
Top Bottom