Huyu ndugu naona anajitahidi sana kufuata nyayo za Marehemu Christopher Mtikila.
Mungu ambariki sana.
Mtikila alitetea sana suala mgombea binafsi sijui alikwama wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndugu naona anajitahidi sana kufuata nyayo za Marehemu Christopher Mtikila.
Mungu ambariki sana.
Kesi inaendelea, usiondoke hapa jf kila kitu utakipata hapahongera
kwaiyo maombi yamefikia wapi? Au yamekataliwa
Hawa ndo watz wazalendo tuwaunge mkonoAll stars team ya mawakili
Unaandika takataka we chawajambo hili ni rahisi mno na hasa ukizingatia waleta maombi ni wazalendo lakini pia ni mawakili wangwana sana humu nchini,
maombi yote yatajibiwa kwa kuzingatia gharama za maandalizi ya uchaguzi zilizotumika, athari na hasara za kutofanyika uchaguzi huo na hatua ya maandalizi ya uchaguzi huo iliyofikiwa,
nadhani uamuzi wenye maelezo ya kina utatolewa baada ya uchaguzi wenyewe November,2024...
na wito wa mapendekezo ya marekebisho utaambatanishwa kwajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo....![]()
mihemko yann sasa gentleman na huna hoja?Unaandika takataka we chawa
Yaani tupindishe haki za wengi kisa gharama no haiwezekani
Mbona hamsemi gharama ya hela inayoptea kwenye ripoti ya CAG

Safi sana ili waliopo waendelee kuongoza mpaka pale sheria itakapo fanyiwa marekebisho...Wanasheria bwana....wetu bhana mnataka sana kiki mjue aisee. Hivi mnajua usheria wenu inabidi mkahutumie je na wapi?Wana-Group wote mliopo hapa jukwaani na raia wengine tunawaalika kesho kwenye Kesi ya Kupinga Uchaguzi wa Serikali za Vijiji, Kamati za Mitaa na Wenyeviti wa Vitongoji kusimamiwa na Wizara ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iliyopangwa kwa mara ya kwanza kutajwa kesho saa 8 mchana Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam.
Kesi itakuwa mbele ya Jaji Dyansobera.
KARIBUNI WOTE
Huyo mjinga mimi nilishampiga tofali kitamboUnaandika takataka we chawa
Yaani tupindishe haki za wengi kisa gharama no haiwezekani
Mbona hamsemi gharama ya hela inayoptea kwenye ripoti ya CAG
Yeye hakukwama bali alipelekwa futi sita chini na wasiojulikana akiwa ameshinda kesi hii ya mgombea binafsi.Mtikila alitetea sana suala mgombea binafsi sijui alikwama wapi
Hawa ndo watz wazalendo tuwaunge mkono
Hawa wazalendo wakiitisha maandamano nitaandama
Siyo usanii wa mbowe
Yeye hakukwama bali alipelekwa futi sita chini na wasiojulikana akiwa ameshinda kesi hii ya mgombea binafsi.
Hii combination ya mawakili ni hatari sana!!
Wapo wachache wazalendo, kama mzee Warioba
Bado habari aijakamilika....ongezea kua mawakili wa CHADEMA na wanachama wa CHADEMAMaombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;
1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;
2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;
3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.
View attachment 3075734
View attachment 3075744
Mahakama ya hovyo kabisaKina Wangwe waliona mbali sana