Kumbe unamjua vizuri[emoji122][emoji122]True, basi nilivoona umevaa katalogi hapo na mikono mfukoni nikajua we mzee wa uno
Ivi lile kundi lao la new edition bado lipo? Huyo baba bado ni mwanamuziki hadi sasa?
Haaaaa Haaaaa 😂Kumbe unamjua vizuri[emoji122][emoji122]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3] kweli kabisa mkuuIngekuwa afrika tungesema anawatoa kafara kakosea masharti ya freemasons....
Huyu sio wa kambo ni wake kabisa yule wa adoption alifariki juzi kati hapo inshort Bobby amepoteza watu wa 4 ndani ya miaka 5Mama Whitney Houston Cocaine....bathtub....kifo 2012
Bobby Christina....cocaine....bathtub....kifo 2015
Mzimu umehamia kwa mtoto wa kambo
RIP
Mwanaume hawi Malaya, Dada yanguOops! yes dear, na huko nje bado alikuwa anazaa daily na wanawake tofauti..
Bobby ni playboy
Hapa katulia kwa ajili ya utu uzima na shekeli inampiga chenga sio kama zamani
Ila ni limalaya full
😢 I can't breath jamani.Huyu sio wa kambo ni wake kabisa yule wa adoption alifariki juzi kati hapo inshort Bobby amepoteza watu wa 4 ndani ya miaka 5
Ila anakuwa niniMwanaume hawi Malaya, Dada yangu
Uchungu gani sasa watu wanazaliwa ili wafeYan. Jamani ukisikia uchungu ndo huu sasa, tena Unazidi ule Wa leba.
Pole sanaa Bobby
Kufiwa na watoto unafikiri jambo dogo sio?Uchungu gani sasa watu wanazaliwa ili wafe
SperminatorI
Ila anakuwa nini
Anakuwa kubuhuMwanaume hawi Malaya, Dada yangu
I meant wa Kambo kwa WittyHuyu sio wa kambo ni wake kabisa yule wa adoption alifariki juzi kati hapo inshort Bobby amepoteza watu wa 4 ndani ya miaka 5
HatarI sana hii familia sijui ilikuwa inaandamwa na pepo ganiWhitney Houston 2012
Bob Kristina Brown 2015
Nick Gordon(boyfriend wa Bob Kristina) January 2020
Bob Brown Jr November 2020
HahahahaAna watoto saba,hakuwa mvivu kwa upande huoView attachment 1630109
Amezaa na Wanawake kadhaa, aliwahi kusema mwenyewe "am a ladies man"Ana watoto wengi bado