Bobi Wine: Katiba Mpya pekee si suluhisho

Mkuu, sasa kama Watu tunaowategemea watuongoze kwenye kudai hiyo Katiba ndiyo hawa wanaopigia magoti Watawala,! Sidhani kama Katiba mpya itapatikana, bado pia sioni nani ataasisi hayo machafuko ya kudai hiyo Katiba mpya.
 
Mkuu, sasa kama Watu tunaowategemea watuongoze kwenye kudai hiyo Katiba ndiyo hawa wanaopigia magoti Watawala,! Sidhani kama Katiba mpya itapatikana, bado pia sioni nani ataasisi hayo machafuko ya kudai hiyo Katiba mpya.

Hiyo huja automatically with time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…