Bobi Wine naye ni wale wale?

Bobi Wine naye ni wale wale?

Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.

NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Wapumbavu wa Mataga wanashabikia ushenzi huu wa dikteta Mu7.
 
Museveni kwisha habari yake
Umeanza umeanza na visredi vyako uchwara mwanamke wewe! Sitakusahau na Lissu ilaifuta CCM. Hivi wakati ukiandika haya huwa una stress za nyumba kubwa au mchepuko
 
Shika adabu yako! Huwezi muita Tundu Lissu mchumia tumbo kwani kwa kufanya hivyo unaruhusu hata mgombea mwenzie John Magufuli naye atukanwe kwa majina machafu na utahatarisha usalama wa ntandao wetu huu kuwepo hewani.
Unajuwa mangapi Lissu amewahi kujitoa kwa watu wa nchi hii kabla hamjaamua kumuua kwa risasi?
Lissu amewahi kuiba nini cha taifa hili? 10% gani kesha kula za miradi ya taifa? Nini kafanya umuite mchumia tumbo? Badala ya kumuita jina hilo huyo muongo wenu unawapachika wengine!
Usibishe Tundu Lissu ni mchumia tumbo na mbinafsi
 
..baada ya matokeo ya uchafuzi kutangazwa nilijua Tundu Lissu atafungwa na ndio utakuwa mwisho wake.

..kumbe mwenzetu ana jambo lake alilolifikiria jinsi ya kuepuka kifungo. sidhani kama ndani ya ccm na serikali kuna aliyetegemea Lissu atasalimisha maisha yake ubalozi wa Ujerumani.

..kuepuka mgogoro na aibu ya kidiplomasia serikali ilimtengenezea passport Tundu Lissu na kumuachia aondoke nchini. sijui kesi zaidi ya 6 dhidi ya Tundu Lissu mahakama ya kisutu zimeishia wapi?
Tundu Lissu ni genius sana, Hakimu Simba alishajiandaa kumfunga jela miaka ya kutosha na huo ndio ungekuwa mwisho wake. Huyu dikteta jiwe ni dhalimu kweli kweli.
 
Kwa MTU mjinga pekee ndiye mwenye kufikiri hivyo.
Na bado, aliyoyasema yote sasa yanaanza kutimia
Tundu Lissu ni mpuuzi kuliko hata Bobie Wine. Mbinafsi hakuna. Pole sana najua wewe una mahaba naye
 
  • Thanks
Reactions: T11
Najua Waganda wamemchoka Babu Mu 7, lakini kuongozwa na Bobi wine nisingewashauri.
Nilishauri Bobi wine akagombee urais chama cha wasanii Uganda sio urais Uganda .
km ni urais then mseven ampe kamanda Muhoozi tu kijana wake maana upinzani hawako serious.
Nchi km ile umpe Bobbi wine wakati watu wameisotea battle to battle mpk kuikomboa Big NO.
Siku 2 nyingi jamaa watapindua kila kitu waanze upya.
Museven kumrudisha Muhoozi kuwa MCS pale.
Sio uamuzi wa kijinga,
Muhoozi na Kagame wameenda chuo kimoja US.
Anajua kila kitu anaweza fanya kila kitu
 
Habari yake haiwezi kumalizwa na check bob aka bob wine! Uganda ina wasomi wakubwa (inaongoza kwenye nchi za EA) wengi wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais wa nchi hiyo wakati mwafaka utakapofika - na wakati mwafaka huo ni wakati Mu 7 atakapoachia nafasi hiyo kwa hiari yake au kwa maamuzi ya Muumba wake. Na kipindi hicho wala hakizidi miaka 10. Mu7 kaitoa mbali nchi hiyo na bado anaendelea kuipeleka mbali kimaendeleo; wenye akili wana muheshimu sana na wanakusubiri wakati huo muafaka. Hii micheck bob inapaswa kushughulikiwa.
Mu7 hakusoma?
Yaani akiondoka aache kuweka familia yake nafasi ya uraisi aamuachie tu mtu yoyote? Halafu akipelekwa mahakamani?
Watu wanaangalia maslah yao sio usomi.
 
Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.

NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Aliporushiwa bomu halikulipuka? Liliripuka akanusurika ama vipi?
 
ivi nyie ni watu gani ? mtu kapigwa risasi nusu kufa asiogope ? alafu watu wa ccm kawashinda tundu lissu kweli kwa hoja mpaka mnamiminia risasi, yan bashiru, pole pole, sijui jiwe yan hamna kabisa hoja zakumshinda zaid yakusema anatumika na mabeberu ? me huwa sina sides ila huwa nashangaa sana , how comes one person anarun show mpaka mnaona hamwez mnaenda kutumia power kubwa
Sio hapa tu, popote duniani iko hivyo ukileta ujuaji unajistaafisha mapema dunuani

Hiyo ni kote tu
 
..baada ya matokeo ya uchafuzi kutangazwa nilijua Tundu Lissu atafungwa na ndio utakuwa mwisho wake.

..kumbe mwenzetu ana jambo lake alilolifikiria jinsi ya kuepuka kifungo. sidhani kama ndani ya ccm na serikali kuna aliyetegemea Lissu atasalimisha maisha yake ubalozi wa Ujerumani.

..kuepuka mgogoro na aibu ya kidiplomasia serikali ilimtengenezea passport Tundu Lissu na kumuachia aondoke nchini. sijui kesi zaidi ya 6 dhidi ya Tundu Lissu mahakama ya kisutu zimeishia wapi?
Hakuna mwenye shida nazo zile wala mwenye shida na Lissu

Kilichotakiwa ni hiki kinachoendelea sasa

Amani na utulivu
 
Ni watoto zake hao. Yeye bado yupo ulingoni. Bodyguard wake na msaidizi wamekamatwa na wataachiwa baada ya uchaguzi. Ana hofia familia yake itafanyiwa kitu kibaya ili aghairi uchaguzi. Bomu la mkono limewahi kurushwa ndani ya chumba cha mwanae. Ana haki 100% kuwasafirisha wanae nje ya nchi kabla ya uchaguzi.

NB: uwe unajifunza kufanya research kabla hujaandika au kuongea chochote. Thank me later!
Sawa Ila vipi sisi mwananchi wa kawaida tutasafirisha vipi familia zetu? Nan atatusaidia anyway siasa ni unijinga dunian
 
Kwa MTU mjinga pekee ndiye mwenye kufikiri hivyo.
Na bado, aliyoyasema yote sasa yanaanza kutimia
Nakumbuka alisema Acacia watatushtaki

Nalo litatimia lini?
 
..Pia tuliambiwa Acacia watatulipa usd 191 billion na kila Mtz atapata gari Noah.

..Nalo litatimia lini?
Angalau hili linatimia japo kidogo kuliko ndoto uchwara za Lissu
 
Back
Top Bottom