Bobi Wine naye ni wale wale?

Bobi Wine naye ni wale wale?

Ilimtengenezea passport??? Sidhan km alikua Hana passport.
Alikuwa na passport iliyokwisha muda wake. Maafisa wa Wizara ya mambo ya nje ndio wenyewe wamepeleka nyaraka hizo ubalozi wa Ujerumani.
Hii inaonyesha jinsi Lissu alivyo smart kuliko wabaya wake wajinga wanaotumia nguvu kuliko akili.
 
Inaonekana haufuatilii siasa na matukio kwa yale yanayoendelea Uganda ndugu, hilo tukio picha zake zilizagaa mitandaoni.

Mfano watch this clip[emoji116]uone jamaa anavyopata dhoruba.

View attachment 1673335
Anasoma magazeti ya Uhuru,Mzalendo na Tanzanite atajuaje mambo ya dunia zaidi ya propaganda za CCM?
Walidanganywa eti hata tukio la kupigwa risasi Lissu ni maigizo na mavuvuzela yakaamini na kuzungika kutangaza
 
Habari yake haiwezi kumalizwa na check bob aka bob wine! Uganda ina wasomi wakubwa (inaongoza kwenye nchi za EA) wengi wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais wa nchi hiyo wakati mwafaka utakapofika - na wakati mwafaka huo ni wakati Mu 7 atakapoachia nafasi hiyo kwa hiari yake au kwa maamuzi ya Muumba wake. Na kipindi hicho wala hakizidi miaka 10. Mu7 kaitoa mbali nchi hiyo na bado anaendelea kuipeleka mbali kimaendeleo; wenye akili wana muheshimu sana na wanakusubiri wakati huo muafaka. Hii micheck bob inapaswa kushughulikiwa.
Akili yako haiko sawa
 
Yaani unataka uwe rais wakati familia yako iko ng'ambo? Watakuwa wendawazimu watakao kupa nafasi hiyo!
Mazingira ya kupata urais huku familia ya mgombea upinzani ikiendelea kuishi maisha ya kawaida yaliishia utawala wa JK. Baada ya hapo hatuna tofauti na Uganda au Rwanda.
 
Habari yake haiwezi kumalizwa na check bob aka bob wine! Uganda ina wasomi wakubwa (inaongoza kwenye nchi za EA) wengi wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais wa nchi hiyo wakati mwafaka utakapofika - na wakati mwafaka huo ni wakati Mu 7 atakapoachia nafasi hiyo kwa hiari yake au kwa maamuzi ya Muumba wake. Na kipindi hicho wala hakizidi miaka 10. Mu7 kaitoa mbali nchi hiyo na bado anaendelea kuipeleka mbali kimaendeleo; wenye akili wana muheshimu sana na wanakusubiri wakati huo muafaka. Hii micheck bob inapaswa kushughulikiwa.
Uongozi no kipaji siyo elimu kubwa kijana
Ingalikuwa ni elimu Basi watanzania tungekuwa tunaishi kwa raha Sana maana tunaongozwa na PhD holder
 
Wasiojua siasa za Uganda wanabwabwaja tu ujinga hapa.
 
Nilishauri Bobi wine akagombee urais chama cha wasanii Uganda sio urais Uganda .
km ni urais then mseven ampe kamanda Muhoozi tu kijana wake maana upinzani hawako serious.
Nchi km ile umpe Bobbi wine wakati watu wameisotea battle to battle mpk kuikomboa Big NO.
Siku 2 nyingi jamaa watapindua kila kitu waanze upya.
Museven kumrudisha Muhoozi kuwa MCS pale.
Sio uamuzi wa kijinga,
Muhoozi na Kagame wameenda chuo kimoja US.
Anajua kila kitu anaweza fanya kila kitu
Wewe ni mtu umeenda shule kabisa babako akalipa ada kabisa n akajiridhisha pesa yake haikupotea kabisa. Yani m7 ampe mwanae kuongoza nchi? Uganda hakuna wengine zaidi ya mwanae. Mtu kakaa madarakani toka 1986 leo amwachie mwanae nae apige mpaka 2090 huko au [emoji23][emoji23][emoji23]
Mawili either Rudi shule au kadai ada yako. ni akili za punguani tu anayeweza kufikiria hili.
 
Habari yake haiwezi kumalizwa na check bob aka bob wine! Uganda ina wasomi wakubwa (inaongoza kwenye nchi za EA) wengi wenye uwezo mkubwa wa kuwa marais wa nchi hiyo wakati mwafaka utakapofika - na wakati mwafaka huo ni wakati Mu 7 atakapoachia nafasi hiyo kwa hiari yake au kwa maamuzi ya Muumba wake. Na kipindi hicho wala hakizidi miaka 10. Mu7 kaitoa mbali nchi hiyo na bado anaendelea kuipeleka mbali kimaendeleo; wenye akili wana muheshimu sana na wanakusubiri wakati huo muafaka. Hii micheck bob inapaswa kushughulikiwa.
Usidhani bobi wine yuko pale bila sababu maalum. Waganda wamemchoka m7 big time na wengine wamepambana sana kumtoa kupitia box la kura mpaka wamechoka wenyewe. Mmojwapo ni Besigye. Jamaa amepambana sana, ameteswa sana, kaenda jela sana, kapigwa sana, hata kutembea kwenda kazini kwake (katika biashara zake esp zile petrol stations zake kampala) ilikuwa shida hata kwenda kanisani hatakiwi hata kwenda Maana raia wamemchoka m7 wakimuona tu hata kama anajipitia tu njia ktk gari yake cz inajulikana.polisi wamefika wanamzingua. alikosa uhuru wa kufanya hata yake ya kijamii mpaka kaamua kachoka kabisa kaacha siasa.
Pia siasa za uganda kabila kubwa ni wabaganda kutoka central ndo wengi so ni makabila yanapambana wanyankole kutoka western (kabila la m7) wamejaa ktk serikali, jeshi nk bobi wine hayuko pale kama mwehu wengi wamepambana wamechomoa njiani bila kupenda. yeye kajivika mabomu sasa ulitaka familia yake iteketee ili ufurahi au? Kumbuja juzi juzi tu alikoswa koswa na bomu/risasi ambayo ilijeruhi walinzi wake akawa anavaa bullet proof jacket hadi ktk kampeni. majuzi tena mlinzi wake frank kauawa live.kabisa achia mbali wamefungwa wako detained wengine kibao lina Nubian Li etc
kwa taarifa yako bobi yuko nyuma ya watu wengi mpaka ndani ya buganda kingdom yeye kajivika mabomu tu ila kikiwaka kitawaka sana. Anaweza asiwe mtu sahihi sana lakini n mtu hata ukimsikiliza anajua.anachokiongea. na trust me support ataipata kubwa tu toka central. M7 anategemea police n jeshi tu otherwise angekuwa amesharudi kwao huko kuchunga ng'ombe akaachana na ikulu ya nakasero
 
Back
Top Bottom