Bobi Wine naye ni wale wale?

Bobi Wine naye ni wale wale?

Kwahiyo Kabaka ana nguvu sana hapo Uganda eti?

Kwani kutaja kampala ni lazima ikulu iwe huko?

Kama huyo Kabaka wana lolote mbona M7 anajitawalia Uagnda apendavyo tena sasa ndio ameanza maandalizi ya kumuweka mwanae kwenye madaraka huku wao Kabaka wapo?

Mkuu Kabaka ni stori za miaka ya 1800 walipokuwa na nguvu sasa hivi wote wako mfukoni mwa M7 hawana la kusema.
Kama hujui kitu uliza, sio kujifanya unajua wakati hata bendera ya UG pengine hujawahi hata iona.

Falme bado zipo UG, hapo central ambapo luweero- kampala- mpka jinja (Kuna mamilion ya Kura kma Dar) wametapakaa wa-Bagganda. Na wana kura almost 20% so wakiamua kulianzisha kma kipindi kile museveni alipotishia kufuta cheo cha Kabaka, basi nakuapia ndio mwanzo na mwisho wa UG kutawalika.

Kingine elewa M7 kura zake zinatoka magharibi kwa makabila ya Banyankole,Bakiga n.k na kidogo Kaskazini maana aliwakomboa kwenye vita. Maeneo mengine yote kura Zikipigwa huru na haki hawezi ambulia 30%.

Kiufupi M7 anategemea jeshi tu ambalo amejaza westerners wenzie ila kura kma kura hana la kumzidi Bobi Wine.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huna ujualo mkuu! Unaongelea mambo ya Kabaka wa miaka ya 1800 uliesoma kwenye history ya form 4?

Ni kwamba M7 kamuweka mwanae ndio mkuu wa kikosi maalumu katika jeshi la uganda na kikosi hicho ndio kicho husika na ulinzi wa rais M7. Kwa hatua hiyo hayo ni maandalizi ya Museven kumwachia madarka mwanae.

Itafika hatua Museven atachoka kimwili na kiakili kisha wataunda zengwe na mwanae ili mwanae ajifanye anampindua babaake na hapo ndio mchakato wa kupasishana urais utakapofanyika.

Bobi yule washabiki wake wahuni kama wale wale wanaojazana kwenye matamasha ya muziki wa Diamond tu. Na si ajabu hata kupiga kura hawaendi.

Ndio kusema Lisu na Bobi wine hawatofautiani.

..Museveni ana wafuasi wengi.

..Bobi naye ana wafuasi wengi.

..cha ziada alichonacho Museveni ni SILAHA / VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA.

..hata hapa Tz cha ziada walichonacho CCM dhidi ya vyama vingine ni silaha na vyombo vya ulinzi na usalama.
 
SIASA ZA AFRIKA SHIDAA

View attachment 1673347View attachment 1673348

Yuleeeeeee
Endeoeen kuuana tu
Waafrika tuna shida sana ndiyo maana hatuwezi ondoka mikononi mwa mzungu.
Uchaguzi wa uganda hautofautiani na tz. Ni mambo ya hovyohovyo mengi yamefanyika. Ndiyo maana bado mzungu anaonekana ndiye baba wa kuja kusuluhisha vurugu barani afrika.
Visingizio kuwa ndiyo demokrasia ya afrika.
 
Tunahitaji rais aliyetulizana na familia yake ikulu!! Zamani ningewaelewa kidogo lakini siku hizi teknolojia hatuhitaji kuwa na loopholes za ku- breach our "whitehouse security firewall"!

Pili, kuficha familia yake nje inatengeneza mazingira hatarisha ya rais wa nchi kuwa blackmailed. Sasa rais amekuwa blackmailed kuna nchi hapo!?

Tatu, kuficha familia ng'ambo huku unasema ni rais wa nchi, ni ishara kubwa sana kuwa ama wewe ni very weak na upo kwenye nafasi hiyo kwa nguvu za walioifadhi familia yako, ama hiyo nchi ni very fragile katika kila eneo hasa la ulinzi na usalama pamoja na jamii kwa ujumla.

Kwa hiyo raia wanaokubali kumuweka madarakani rais ambaye ameficha familia yake ughaibuni, hao watakuwa wanakubali mapungufu matatu niliyoeleza! Na kukubali mapungufu hayo, wakati nchi yenu hako katika hali hiyo ni uwendawazimu!!
Nadhani unachanganya kati ya rais na mgombea.
Check your facts bro.
Robert si rais .. bali ni mgombea, ameipeleka familia yake nje kwa sababu za kiusalama lakin yeye amebaki nyumban akipambana.

Unaposema unahitaji rais alietulizana na familia yake ikulu? Swali.. robert ameshawahi kuishi ikulu?

Second you know nothing about firewalls man. In modern world any firewall can be penetrated. It happened before. If the want it they will get it.. sababu technologia yenyewe ya firewall tunanunua kutoka kwao.
 
Wapuuzi ni wengi huku mitandaoni mmojawapo ni wewe. Watu wanapojadili kitu msilete mihemko yenu humu kwakuwa mna id za siri. weka facts tubishane. Mtu hujui lolote unaleta ubishi tu kipuuzi. Matusi ndo tiba yenu.
Mjadili au mbishane?
Hapa ndio wakosoaji mnapojichanganya
 
Wewe una watoto? Au wewe mgumba hauzai, mzazi yoyote yule anayejitambua mwenye watoto ataheshimu alichofanya Bobi Wine, kwanini uwaingize watoto wako katika risk na una uwezo wa kuwalinda.
Angewaondoa na watoto wa wafuasi wake ili aanzishe vurugu vizuri.

Nyie wapinzani mna akili za mbege mbege!
 
Wewe una watoto? Au wewe mgumba hauzai, mzazi yoyote yule anayejitambua mwenye watoto ataheshimu alichofanya Bobi Wine, kwanini uwaingize watoto wako katika risk na una uwezo wa kuwalinda.
Watoto wa wafuasi wake nani ana walinda?
 
Hayo ya kurushiwa bomu (kopo) chumbani kwake kayasema yeye sawa tu na yale aliyosema Tundu Lissu ya kupokea simu kutoka kwa asiyejulikana akimtishia kuondoa uhai wake!
Vipi! Tayari ameshajulikana yule alimpiga risasi 16?
 
Nilitamani nikujibu hii comment kwa kicheko kikali ila nimekosa option ya voice note hasa hapo ulipomwambia mr mat.ako atembee ajionee dunia

sasa Mat.ako nimetamani kuona mat.ako yake yakiwa yanatembea yanakuaje

CCM chama cha baba na mama
 
Vipi! Tayari ameshajulikana yule alimpiga risasi 16?
Ugoni mbaya jamani. Hata kwenye bibilia watu wa aina hiyo walikuwa wanapigwa mawe hadi kufa. Siku hizi wanamiminiwa marisasi.
 
Back
Top Bottom