ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Huwezi kwenda kwa chui mwenye njaa kuomba msaada na wewe ni kondoo uliye nona!Kuomba msaada ni jambo la kawaida sanaa, hata Mandela alipokuwa anapinga ubaguzi wa rangi huko afrika ya kusini alikuja kuomba msaada Tanzania.