This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Angalia waliolike post yako ni kina nani utazijua akili zako.Hapa ndipo i. lipo shida ya Waafrica, Tatizo limetokea Africa unakwenda kufanyia press wazungu.. Trump huwa anatutukana Waafrica kama watu ambao hatuwezi kuchukua maamuzi. Bobi anatakiwa apambane huko huko Uganda kwa kuwaunganisha waganda dhidi ya MU7.