Huwezi kwenda kwa chui mwenye njaa kuomba msaada na wewe ni kondoo uliye nona!Kuomba msaada ni jambo la kawaida sanaa, hata Mandela alipokuwa anapinga ubaguzi wa rangi huko afrika ya kusini alikuja kuomba msaada Tanzania.
Ndio mavibaraka yenyewe hayo! Yana shida sana walahi!Yaani umeamua kujiona kama mzungu vile, duh.
Na ukiyaona yanavyojifanya makamanda, khaa.Ndio mavibaraka yenyewe hayo! Yana shida sana walahi!
HahahahaNa ukiyaona yanavyojifanya makamanda, khaa.
Wewe tu ndiye uliyeona hivyo.Yaani umeamua kujiona kama mzungu vile, duh.
Kwani ulitaka nisione au?Wewe tu ndiye uliyeona hivyo.
Definitely not.Kwani ulitaka nisione au?
Bobi kiukweli anamtingisha MU7 sasa, jamaa sio muoga hata kidogo.
Malkia wa Uingereza bado ana nguvu kama ya raisi wa nchi za Afrika?Rais wa China na German nao pia ni aibu?
Fikiria Africa tungekuwa na malkia kama ulaya ingekuwa je?
Tusiwe wanafiki katika maamuzi walahi!
So what is the problem?Definitely not.
Dictatorship must be exposed to the international community! Bobi anafanya kitu sahihi!Hapa ndipo ilipo shida ya Waafrica, Tatizo limetokea Africa unakwenda kufanyia press wazungu.. Trump huwa anatutukana Waafrica kama watu ambao hatuwezi kuchukua maamuzi. Bobi anatakiwa apambane huko huko Uganda kwa kuwaunganisha waganda dhidi ya MU7.
Absolutely no.So what is the problem?
Ok.Absolutely no.
Do you have any idea about a poll tax introduced in the UK in 1990s?
Hapa ndipo ilipo shida ya Waafrica, Tatizo limetokea Africa unakwenda kufanyia press wazungu.. Trump huwa anatutukana Waafrica kama watu ambao hatuwezi kuchukua maamuzi. Bobi anatakiwa apambane huko huko Uganda kwa kuwaunganisha waganda dhidi ya MU7.
Wewe ni mpumbav na watawala wako wauajiHapa ndipo ilipo shida ya Waafrica, Tatizo limetokea Africa unakwenda kufanyia press wazungu.. Trump huwa anatutukana Waafrica kama watu ambao hatuwezi kuchukua maamuzi. Bobi anatakiwa apambane huko huko Uganda kwa kuwaunganisha waganda dhidi ya MU7.
Itaondoaje ukweli wa udhalimu wao....Amewaudhi sana Waganda siku akirudi watamaliza kazi hapohapo airport.
Hao waarabu hawana akili wanapigana wenyewe kila siku.Well said
Ni sawa na kondoo kwenda kwa chui kuomba msaada!
Hivi hawa oni Syria, Libya, palestina, Yemen na kwingineko wadhungu wanavyo wauwa watu kama nzi?
Ndio maana Mwenye Enzi Mungu anawalaani na kuwauwa wapinzani wa Africa kila iitwapo leo walahi!
That’s all