Bobrisky kutua Tanzania, aletwa na Gigy money

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Shoga maarufu na mwenye mafanikio ya kutisha kutoka pande za Nigeria , Idris okuneye, maarufu kama Bobrisky, ametangaza ujio wake kwenye ardhi ya Magu, baada ya kualikwa na Msanii kutoka bongo Gigy money

Ukaribu wa mastaa hao ulianza mapema mwaka huu baada ya watu kuwafananisha mastaa hao kuwa wamefanana, hivyo wao binafsi wakafanya jitihada za kutafutana na kuyajenga

Bado haijajulikana kama kutakua na project au ni
personal visiting tu ya kumtembelea Shoga ake gigy money


Haya mastaa wabongo mjiandae kuibiwa waume zenu, bobrisky ana pesa chafu na vijanaume vyenu vilivyo na njaa soon vitabebwa

 
Anaenda?
 
Mkuu Warumi
Nimekuelewa Halafu Lile Jambo Letu Tuliloongea Kuna Pastor Anaombea Watu Watoboe Wapate Ndoa Haraka
Kuhusu Chupi Chupi Za Upako Uvae Naona Kama Order Imeisha

Mxieew bora hata niende kwa waganga, hao watumish matapel , hayo mafuta washamiwekea had kwa bibi , na vidole juu wakanitia mxieew , mbwa hao matapel, hizo chup nisije pata fangas bure
 
Mxieew bora hata niende kwa waganga, hao watumish matapel , hayo mafuta washamiwekea had kwa bibi , na vidole juu wakanitia mxieew , mbwa hao matapel, hizo chup nisije pata fangas bure
Kweli!!
Mwaka Huu Unatoka Utapata Mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…