Bobrisky kutua Tanzania, aletwa na Gigy money

Bobrisky kutua Tanzania, aletwa na Gigy money

Shoga maarufu na mwenye mafanikio ya kutisha kutoka pande za Nigeria , Idris okuneye, maarufu kama Bobrisky, ametangaza ujio wake kwenye ardhi ya Magu, baada ya kualikwa na Msanii kutoka bongo Gigy money

Ukaribu wa mastaa hao ulianza mapema mwaka huu baada ya watu kuwafananisha mastaa hao kuwa wamefanana, hivyo wao binafsi wakafanya jitihada za kutafutana na kuyajenga

Bado haijajulikana kama kutakua na project au ni View attachment 1614519
personal visiting tu ya kumtembelea Shoga ake gigy money


Haya mastaa wabongo mjiandae kuibiwa waume zenu, bobrisky ana pesa chafu na vijanaume vyenu vilivyo na njaa soon vitabebwaView attachment 1614520
View attachment 1614521
View attachment 1614523
Hataruhusiwa kuingia nchini
 
Kwahiyo walipima Oil?
Mxieew bora hata niende kwa waganga, hao watumish matapel , hayo mafuta washamiwekea had kwa bibi , na vidole juu wakanitia mxieew , mbwa hao matapel, hizo chup nisije pata fangas bure
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sitaki connections za dhambi nilizonazo zinanitosha
haahhaa weee nae unakataaaa. Mshedede wa dhahabuuuu. Ahahaaaaaaaaaaaa. Haya banaaaas. .. Mida mida utani cheki etiii] nammalizia. Wa badooo. Hapaaa. Kunduchii rooom. ...
 
Back
Top Bottom