Achana na mambo ya filter hana uzuri wowote. Kuna siku niliona picha yake ambayo hajajiedit. Sura ina mpauko ule wa mkorogo wa bei chee.kweli maisha sio fair, yan shoga mzima kanizidi dhambi na uzuri juu
hivi kumbe ni filters??? kweli niko nyuma nyumaAchana na mambo ya filter hana uzuri wowote. Kuna siku niliona picha yake ambayo hajajiedit. Sura ina mpauko ule wa mkorogo wa bei chee.
Hizi filter ambaye hatokei mzuri labda zombie
Upo nyuma kwakwelihivi kumbe ni filters??? kweli niko nyuma nyuma
mkuu keneddy harakati vpChangamoto
Heri jamesLisu anafurahia tu sasa
UnauzaAtakuwa kaalikwa na yule aliyekuwa mtalii na mgombea uraisi.. anayesapoti hao.. labda ndio beberuz wamemtuma huyo mwanaume..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bro kuwa serious bhn....Waangalizi Wa Uchaguzi Mkuu Kutoka European Union
Na pesa pia..😅😃kweli maisha sio fair, yan shoga mzima kanizidi dhambi na uzuri juu
Haya tumuache gigg na shoga yake wajimwayemwaye. Hahahahaha!Shoga maarufu na mwenye mafanikio ya kutisha kutoka pande za Nigeria , Idris okuneye, maarufu kama Bobrisky, ametangaza ujio wake kwenye ardhi ya Magu, baada ya kualikwa na Msanii kutoka bongo Gigy money
Ukaribu wa mastaa hao ulianza mapema mwaka huu baada ya watu kuwafananisha mastaa hao kuwa wamefanana, hivyo wao binafsi wakafanya jitihada za kutafutana na kuyajenga
Bado haijajulikana kama kutakua na project au ni View attachment 1614519
personal visiting tu ya kumtembelea Shoga ake gigy money
Haya mastaa wabongo mjiandae kuibiwa waume zenu, bobrisky ana pesa chafu na vijanaume vyenu vilivyo na njaa soon vitabebwaView attachment 1614520
View attachment 1614521
View attachment 1614523
Kwani huyu ni mwanaume? Dunia imekwisha aisee!Shoga maarufu na mwenye mafanikio ya kutisha kutoka pande za Nigeria , Idris okuneye, maarufu kama Bobrisky, ametangaza ujio wake kwenye ardhi ya Magu, baada ya kualikwa na Msanii kutoka bongo Gigy money
Ukaribu wa mastaa hao ulianza mapema mwaka huu baada ya watu kuwafananisha mastaa hao kuwa wamefanana, hivyo wao binafsi wakafanya jitihada za kutafutana na kuyajenga
Bado haijajulikana kama kutakua na project au ni View attachment 1614519
personal visiting tu ya kumtembelea Shoga ake gigy money
Haya mastaa wabongo mjiandae kuibiwa waume zenu, bobrisky ana pesa chafu na vijanaume vyenu vilivyo na njaa soon vitabebwaView attachment 1614520
View attachment 1614521
View attachment 1614523
Wasanii wa tz wanapenda mambo hayo,hivi alikujaKwani huyu ni mwanaume? Dunia imekwisha aisee!