Bobrisky kutua Tanzania, aletwa na Gigy money

kweli maisha sio fair, yan shoga mzima kanizidi dhambi na uzuri juu
Achana na mambo ya filter hana uzuri wowote. Kuna siku niliona picha yake ambayo hajajiedit. Sura ina mpauko ule wa mkorogo wa bei chee.
Hizi filter ambaye hatokei mzuri labda zombie
 
Achana na mambo ya filter hana uzuri wowote. Kuna siku niliona picha yake ambayo hajajiedit. Sura ina mpauko ule wa mkorogo wa bei chee.
Hizi filter ambaye hatokei mzuri labda zombie
hivi kumbe ni filters??? kweli niko nyuma nyuma
 
Ngoja tuone wakatao mpokea
Je akija shog.a atapewa airtime au ?

Ova
 
Sasa tuone ccm wakimkatalia visa maana si wanapinga ushoga
 
Big Boys should get ready
 
Huyu ndie gasho anae sukumiwa mjegejo...[emoji44][emoji44]
 
Haya tumuache gigg na shoga yake wajimwayemwaye. Hahahahaha!
 
Kwani huyu ni mwanaume? Dunia imekwisha aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…