BOCCA DELLA VERITÁ: Sanamu ambayo ukiongea uwongo hukukata vidole

Hilo sanamu lingekuwa Tanzania,
wana ndoa wote na wapenzi wao wangekuwa vilema..

99% ya wanandoa so waaminifu.
Asilimia moja unamwachia nani? Weka 100% kabisa. Hakuna ambaye hajawahi saliti ndoa yak, hakuna. Kama nasema uongo twende nikaweke vidole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…