Sio kwamba kuna mtu humo ndani anakuwa active akisikiliza huku ametayarisha panga, kisu au msumeno?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Eti unakubaliana na hili kweli, sanamu anakata vidole?!
acha kuichukia CCMKwanin lisitumike MAHAKAMANI../ KTK Shughuli za kuapisha Viongozi?
😂😂😂😂 kwani sisiemu wamefanyajeacha kuichukia CCM
hawaliabudu mkuuKwahiyo wanaliabidu hilo dubuana😂
Watanzania tusifikie huko yaani mtu unaombea jambo litalowakata vidole wana ccm😂😂😂😂 kwani sisiemu wamefanyaje
sukari tunachukua ya kilomberoChai ya ulaya
Hilo sanamu lingekuwa Tanzania,
wana ndoa wote na wapenzi wao wangekuwa vilema..
99% ya wanandoa so waaminifu.
😂😂Kwenye hilo sanamu wewe unaenda kutafuta nini?
Ni ktk kuonyeshana uaminifu..Kwenye hilo sanamu wewe unaenda kutafuta nini?
Ingekuwa powa sana Kama viongozi wote wangekuwa wanakwenda kuapishwa hapoKwanin lisitumike MAHAKAMANI../ KTK Shughuli za kuapisha Viongozi?
Mimi ..... naapa kuilinda na kuitunza Katiba ya.....( Kabla ya kufika mwisho mara huna vidole[emoji1787])Kwanin lisitumike MAHAKAMANI../ KTK Shughuli za kuapisha Viongozi?
Kweli kabisa mkuu, hata signature yangu inathibitisha hili.Kwanin lisitumike MAHAKAMANI../ KTK Shughuli za kuapisha Viongozi?
Asilimia moja unamwachia nani? Weka 100% kabisa. Hakuna ambaye hajawahi saliti ndoa yak, hakuna. Kama nasema uongo twende nikaweke vidoleHilo sanamu lingekuwa Tanzania,
wana ndoa wote na wapenzi wao wangekuwa vilema..
99% ya wanandoa so waaminifu.
1% nimewaachia wachungaji na mashehe.Asilimia moja unamwachia nani? Weka 100% kabisa. Hakuna ambaye hajawahi saliti ndoa yak, hakuna. Kama nasema uongo twende nikaweke vidole
1% nimewaachia wachungaji na mashehe.
Kkkkkkk