Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezingua..Mwanamke unakubaliji kuolewa na hawa jamaa waendesha bodaboda ni wambea sana wafitinishaji ndio maana hayafanikiwagi
Wacha tuwagingee tuu wake zao wanatuleta madhara mingi hawa watuUmezingua..
1. Kwani anayesafirisha abiria kwa usafiri wa pikipiki, hatakiwi kuoa?
2. Suala kufanikiwa, ni suala la mtu binafsi, sio kazi anayofanya..
3. Kwani boda boda ndio wambea peke yao?
Pole mkuu kwa kuripotiwa kwa mkeo na bodabodaMwanamke unakubaliji kuolewa na hawa jamaa waendesha bodaboda ni wambea sana wafitinishaji ndio maana hayafanikiwagi
boda washafanya yao. Shemeji kafanya maamuzi magumuWamekufanya nin tena bodaboda ndugu yetu
Mkuu umenivunja mbavu.Kupatwa kwa bodaboda.
Kuna mahali nimesoma wameandika "mdada usimpee bodaboda atakushangaza kwa maneno yaani utakuta wengine washalala na wewe kiakili sababu ya mdomo. Wakale vya wake zao"Mwanamke unakubaliji kuolewa na hawa jamaa waendesha bodaboda ni wambea sana wafitinishaji ndio maana hayafanikiwagi
Huyu hawezi elewa.Akili mtu wangu[emoji23]
Pole, mi mwenyw dereva boda boda, hiyo tabia hatuna kabisa na mafanikio sio haba tunayapata.!!Mwanamke unakubaliji kuolewa na hawa jamaa waendesha bodaboda ni wambea sana wafitinishaji ndio maana hayafanikiwagi