Boda boda wanajua kuaibisha sana

Boda boda wanajua kuaibisha sana

Hakuna Kempinski hotel hapa Tanzania kwa miaka hii ya karibuni.
Au mada yenu imebase nje ya Tanzania?
Tusiishi kwa kukariri.
 
Ndio kumshushia mtu pale reception kempiski kisa nini??

Nawe umeng’ang’ania Kempinski Kempinski kwanza Tanzania hatuna Hotel hiyo tuna Hyatt na pale kuna Barrier boda hawezi kufika Reception atakushushia nje ya Geti Kuu na hata ivyo suala la utashushwa wapi ni kutokana na Ujinga upumbavu na Ufalaaa wako kutomuelekeza aliyekubeba sehem ya kushusha poor kabisa mleta mada
 
Nawe umeng’ang’ania Kempinski Kempinski kwanza Tanzania hatuna Hotel hiyo tuna Hyatt na pale kuna Barrier boda hawezi kufika Reception atakushushia nje ya Geti Kuu na hata ivyo suala la utashushwa wapi ni kutokana na Ujinga upumbavu na Ufalaaa wako kutomuelekeza aliyekubeba sehem ya kushusha poor kabisa mleta mada
Ipo
 
Back
Top Bottom