Nieleweshe kama umeelewa naona fuvu langu Leo halipo vzuri.[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anamaanisha bodaboda kwenda kumuacha getini kabisa lodge au guest house huku boda yake inapigisha mziki mkubwa kila mtu anamuonašNieleweshe kama umeelewa naona fuvu langu Leo halipo vzuri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nmeshaelewaAnamaanisha bodaboda kwenda kumuacha getini kabisa lodge au guest house huku boda yake inapigisha mziki mkubwa kila mtu anamuona[emoji23]
Ndio kumshushia mtu pale reception kempiski kisa nini??
IpoNawe umengāangāania Kempinski Kempinski kwanza Tanzania hatuna Hotel hiyo tuna Hyatt na pale kuna Barrier boda hawezi kufika Reception atakushushia nje ya Geti Kuu na hata ivyo suala la utashushwa wapi ni kutokana na Ujinga upumbavu na Ufalaaa wako kutomuelekeza aliyekubeba sehem ya kushusha poor kabisa mleta mada