Bodaboda acheni undumilakuwili kwenye siasa, kuweni na msimamo, saa ya Ukombozi ni sasa!!

Bodaboda acheni undumilakuwili kwenye siasa, kuweni na msimamo, saa ya Ukombozi ni sasa!!

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Mkiniambia kuwa ninyi mko kibiashara zaidi, mbona ikitokea gari imemgonga mwenzenu Huwa mnaikimbiza Kwa gharama zenu bila kujali HASARA ya kupoteza mafuta?

Iweje mlipwe na Kila mwanasiasa mwenye pesa?

Yaani yeyote mwenye uwezo wa kuwajazia full tank mko naye na hamjali chochote!!

Ifike Mahali chama kilichowafanya mkose ajira Rasmi, chama kilichoua viwanda vilivyokuwepo mkigomee kukipa support kwenye maandamano na mikutano Yao, maana Huwa mnatumika picha zenu na hizo bendera mnazofunga ni mtaji wao kisiasa kuwahadaa Watanzania kwamba chama hicho kinakubalika kumbe sio.

Linapokuja swala la Ukombozi wa Nchi, tumieni Ile kauli ya "MASKINI JEURI".

Turudi zamani, enzi zile Mrema alikuwa akizima gari, inasukumwa free kilometer kadhaa. Makamanda wakifika mikoa yenu, wekeni kando biashara Kisha hudhurieni mikutano Kwa gharama zenu.

Sacrifice ni muhimu sana Kwa wakati tuliopo.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.🙏
 
Salaam, Shalom!!

Mkiniambia kuwa ninyi mko kibiashara zaidi, mbona ikitokea gari imemgonga mwenzenu Huwa mnaikimbiza Kwa gharama zenu bila kujali HASARA ya kupoteza mafuta?

Iweje mkodiwe na Kila mwanasiasa mwenye pesa?

Yaani yeyote mwenye uwezo wa kuwajazia full tank mko naye na hamjali chochote!!

Ifike Mahali chama kilichowafanya mkose ajira Rasmi, mkogomee kukupa support kwenye maandamano na mikutano Yao, maana Huwa mnatumika picha zenu na hizo bendera m azofunga ni mtaji wao kisiasa kuwahadaa Watanzania kwamba chama hicho kinakubalika kumbe sio.

Linapokuja swala la Ukombozi wa Nchi, tumieni Ile kauli ya "MASKINI JEURI".

Turudi zamani, enzi zile Mrema alikuwa akizima gari, inasukumwa free kilometer kadhaa. Makamanda walifika mikoa yenu, wekeni kando biashara Kisha hudhurieni mikutano.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.🙏
Njaa ni mbaya sana mkuu. Njaa itakufanya ule hata chakula cha mchawi anaejulikana kwa uchawi wake.
 
Njaa ni mbaya sana mkuu. Njaa itakufanya ule hata chakula cha mchawi anaejulikana kwa uchawi wake.
Yaani kijana unaanzaje KUFUNGA bendera kwenye chombo chako kusupport chama kilichokufikisha hapo kisa mafuta full tank?

Ifike time turidhike na Hali tulizonazo,

Umalaya kisiasa haufai.
 
Vyama vya upinzani acheni TABIA ya kuwaendekeza bodaboda Kwa kuwawekea mafuta.

Wanatakiwa wawe wazalendo wajitolee.
 
Kwa maana nyingine, unataka maafisa usafirishaji wasiende kwenye mikutano ya CCM ila waende Kwa CHADEMA?

What's is the difference between the two sides?
Kila Mmoja aende Kwa mapenzi binafsi ikiwa anavutiwa,

Ila asiende Kwa sababu ya full tank ya Bure.

Njaa Haina mwisho.
 
Bodaboda wanasubiri kampeni - wapate mafuta ya bure & posho. Ni kipindi cha mavuno kama walivyo wasanii.
Sasa Mwanaume kupenda vya Bure, siku ukirudi home ukakuta kuku ilhali uliacha 5000 usiulize imetoka wapi!!

Njaa iwe na ukomo.
 
Salaam, Shalom!!

Mkiniambia kuwa ninyi mko kibiashara zaidi, mbona ikitokea gari imemgonga mwenzenu Huwa mnaikimbiza Kwa gharama zenu bila kujali HASARA ya kupoteza mafuta?

Iweje mkodiwe na Kila mwanasiasa mwenye pesa?

Yaani yeyote mwenye uwezo wa kuwajazia full tank mko naye na hamjali chochote!!

Ifike Mahali chama kilichowafanya mkose ajira Rasmi, mkigomee kukipa support kwenye maandamano na mikutano Yao, maana Huwa mnatumika picha zenu na hizo bendera mnazofunga ni mtaji wao kisiasa kuwahadaa Watanzania kwamba chama hicho kinakubalika kumbe sio.

Linapokuja swala la Ukombozi wa Nchi, tumieni Ile kauli ya "MASKINI JEURI".

Turudi zamani, enzi zile Mrema alikuwa akizima gari, inasukumwa free kilometer kadhaa. Makamanda wakifika mikoa yenu, wekeni kando biashara Kisha hudhurieni mikutano. Sacrifice ni muhimu sana Kwa wakati tuliopo.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.🙏
Nikifikiria kinachotokea hapo kwa Ruto hua narudi zangu ndani kwangu natulia tuli sitaki mambo mengi nikiiangalia pale Zambia kinachotokea ndio kabisa sasa hivi nasubiri kwa yule Jamaa mwenye wake wawili alieingia kwa mbwembwe za kutoka gerezani
 
Salaam, Shalom!!

Mkiniambia kuwa ninyi mko kibiashara zaidi, mbona ikitokea gari imemgonga mwenzenu Huwa mnaikimbiza Kwa gharama zenu bila kujali HASARA ya kupoteza mafuta?

Iweje mkodiwe na Kila mwanasiasa mwenye pesa?

Yaani yeyote mwenye uwezo wa kuwajazia full tank mko naye na hamjali chochote!!

Ifike Mahali chama kilichowafanya mkose ajira Rasmi, mkigomee kukipa support kwenye maandamano na mikutano Yao, maana Huwa mnatumika picha zenu na hizo bendera mnazofunga ni mtaji wao kisiasa kuwahadaa Watanzania kwamba chama hicho kinakubalika kumbe sio.

Linapokuja swala la Ukombozi wa Nchi, tumieni Ile kauli ya "MASKINI JEURI".

Turudi zamani, enzi zile Mrema alikuwa akizima gari, inasukumwa free kilometer kadhaa. Makamanda wakifika mikoa yenu, wekeni kando biashara Kisha hudhurieni mikutano. Sacrifice ni muhimu sana Kwa wakati tuliopo.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.🙏
Usichokijua ni kwamba bodaboda wengi sana ni Mawakala wa Siri wa wale jamaa wa 'Noah nyeusi' ('Watekaji Trans')
 
Nikifikiria kinachotokea hapo kwa Ruto hua narudi zangu ndani kwangu natulia tuli sitaki mambo mengi nikiiangalia pale Zambia kinachotokea ndio kabisa sasa hivi nasubiri kwa yule Jamaa mwenye wake wawili alieingia kwa mbwembwe za kutoka gerezani
Nani huyo mwenye wake wawili.
 
Kila Mmoja aende Kwa mapenzi binafsi ikiwa anavutiwa,

Ila asiende Kwa sababu ya full tank ya Bure.

Njaa Haina mwisho.
Niliwakuta boda wa CHADEMA wanajaza mafuta maeneo ya Segerea.

Boda kujazwa mafuta ni kawaida. Au ulitaka zijazwe maziwa?
 
Back
Top Bottom