Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 1,064
- 2,076
Tusikilizeni sana sisi mabodaboda maana sisi ni wakweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaTusikilizeni sana sisi mabodaboda maana sisi ni wakweli.
Maono kwa mwanamke, umerogwa?!Na mungu akikupatia maono kuhusu uyo mwanamke ambae boda kasema je itakuaje?
Hahahaha!Japo siungi mkono udhalilishaji wa wanawake hii post imenikumbusha post ya kijana mmoja mkoani.alimpost mshkaji wake mtandaoni akiwa kwenye harusi kashikana na mkewe akaandika caption
"Kaka hongera kwa kuopoa ndala za chooni na kuziingiza ndani...siku nyingine ukija uwe unauliza wenyeji kwanza!
Nkabaki nawaza tu kizazi cha leo[emoji23][emoji23][emoji23]