Bodaboda akikwambia usioe huyo mwanamke, acha kweli

Tusikilizeni sana sisi mabodaboda maana sisi ni wakweli.
 
Hahahaha!
 
Mwenye nia ya kuoa atafanya uchunguzi mwenyewe na sio kutegemea taarifa toka kwa boda.

Je kama huyo boda hataki huyo Dada aolewe? Si anaeza tunga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…