Bodaboda mkaidi aponea chupuchupu barabara ya mwendokasi, pikipiki yashika moto

Bodaboda mkaidi aponea chupuchupu barabara ya mwendokasi, pikipiki yashika moto

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Wanakatazwa kila siku, si polisi na hata Wizara na UDART.

Leo bodaboda mkaidi kaingia njia ya mwendokasi na kuishia kugongwa na kuburuzwa hadi pikipiki ikawaka moto.
 
pale uzembe wa mtu mmoja unapotaka ukosti maisha ya watu lukuki
 
Madereva wa boda awataki kabisa kutii sheria za barabarani wakati ni kwa usalama wao wenyewe na vyombo vyao vya usafiri.
 
Bodaboda wanaopata ajali kila siku huwa wanazipata kwa kupita njia ya BRT?
 
Alipangiwa atapata hiyo ajali pinditu alipozaliwa. Jiulize mara ngapi katumia iyo barabara ya mwendokasi na ajapata ajali? Na bodaboda wangapi wanatumia iyo njia na hawapati ajali?
 
Alipangiwa atapata iyo ajali pinditu alipozaliwa. Jiulize mara ngapi katumia iyo barabara ya mwendokasi na ajapata ajali? Na bodaboda wangapi wanatumia iyo njia na hawapati ajali?
Na wewe itumie hiyo baarabara ili tujue ulivyopangiwa ulivyozaliwa.

Ukigongwa ndio tutajua.
 
Kama nimepangiwa nitaitumia. Na kama sijapangiwa sitaitumia. Hata hivi ulivonijibu comment yangu nami navyokujibu comment yako ilishapangwa itakuwa hivyo
Sasa hebu nakuomba harakisha siku yako ukae pale mwendokasi, kwa nini kuachia fursa uliyoandikiwa?
 
Kama nimepangiwa nitaitumia. Na kama sijapangiwa sitaitumia. Hata hivi ulivonijibu comment yangu nami navyokujibu comment yako ilishapangwa itakuwa hivyo
Acha kuifunga akili yako wewe kwa hiyo sasa hivi ukianza kutatuliwa marinda utasema umepangiwa kutatuliwa na kwamba ukiombwa kushika ukuta utashika kama umepangiwa? hebu ondoa hao wadudu kichwani ili uwe na maamuzi sahihi na siyo kufanya upuzi kisa umepangiwa sijui na nani.
 
Acha kuifunga akili yako wewe kwa hiyo sasa hivi ukianza kutatuliwa marinda utasema umepangiwa kutatuliwa na kwamba ukiombwa kushika ukuta utashika kama umepangiwa? hebu ondoa hao wadudu kichwani ili uwe na maamuzi sahihi na siyo kufanya upuzi kisa umepangiwa sijui na nani.
Haijapangwa sasa ndo maana kamwe haitatokea. Weee vipi?
 
Bodaboda ni kundi la Kwaajili ya mtaji WA wanasiasa wamepewa kiburi cha kufanya lolote barabarani.

FINE zao ni TSH 10,000 Tu hiyo yote ni kuwajaza ujinga vichwani mwao, bodaboda ni Kero kubwa Sana Kwa madereva wenzao WA magari
 
Nilifikiri viroba kuzuiwa ingesaidia kidogo hawa jamaa zetu wa bodaboda kumbe hamna kitu.
 
Bodaboda ni kundi la Kwaajili ya mtaji WA wanasiasa wamepewa kiburi cha kufanya lolote barabarani.
FINE zao ni TSH 10,000 Tu hiyo yote ni kuwajaza ujinga vichwani mwao, bodaboda ni Kero kubwa Sana Kwa madereva wenzao WA magari
Hata wakigongwa hawahurumiwi, maana wametaka iwe hivyo.
 
Alipangiwa atapata iyo ajali pinditu alipozaliwa. Jiulize mara ngapi katumia iyo barabara ya mwendokasi na ajapata ajali? Na bodaboda wangapi wanatumia iyo njia na hawapati ajali?
Huu mtazamo wako ni moja mitizamo ya hovyo yenye kuakisi ujinga wa muhusika.
 
Back
Top Bottom