Bodaboda mkaidi aponea chupuchupu barabara ya mwendokasi, pikipiki yashika moto

Bodaboda mkaidi aponea chupuchupu barabara ya mwendokasi, pikipiki yashika moto

Huyo akipona ashitakiwe kuhujumu uchumi na kuhatarisha maisha ya abiria. @#££-++_ zake!
 
Pikipiki kapoteza na si ajabu atakutana na msala

Ova
 
we jamaa una akili za kimasikini sana yani usifate sheria then usingizie kuwa mipango ya mungu
Kuna mwizi kabla ya kutoa hukumu hua wanapewa nafasi ya ombi la kujitetea na "wengi huaomba wapunguziwe adhabu kwa sababu ana familia inamtegemea"

Kaka mwizi utetezi wake alimuomba hakimu amsamehe kwa sababu kuiba kwake haikua kusudio lake ila ni Mungu alishamuandikia katika maisha yake kua fulani ataiba.

Basi hakimu akamuhukumu kifungo cha miaka 3 gerezani, na akamuambia mtuhumiwa kua hii hukumu sio kusudio langu ila Mungu wako alishaandika kua siku fulani utaiba na leo utahukumia kifungo cha miaka 3 gerezani (kuiba kwake na kuhukumiwa miaka 3 jela yote ilikua ni mipango ya Mungu)
 
Hawa wanabidi wafaulu mtihani wa kuendesha na kusoma kanuni zote bila hongo
Na makampuni yanayowafundisha binafsi wanahakikisha haendi kufanya mtihani mpaka awe kaiva haswa

Madereva wengi hata kusoma hawajui sasa hao wakatafute kazi zingine
Mbona nchi zote ni hivyo ukishindwa mtihani wa theory basi
 
Back
Top Bottom