DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,256
- 4,647
View attachment 2120053
Wanakatazwa kila siku, si polisi na hata Wizara na UDART.
Leo bodaboda mkaidi kaingia njia ya mwendokasi na kuishia kugongwa na kuburuzwa hadi pikipiki ikawaka moto.
Learning the hard way sometimes is the best.