Bodaboda msilie wala kuumia, CHADEMA haioni umuhimu wenu lakini CCM inawajali na kuwaheshimisha

Nitajie mkubwa wa CCM ambaye mtoto wake Ni bodaboda.
Watoto wao Ni special for teuzi na kufanya biashara bila kulipa Kodi halafu wanakuambieni mchemke na pikipiki Ni kazi ya heshima.
Kalaga baho.
 
Bodabodaa wako duniani kote, inamaana Nako uko wamelaaniwaa?? Vijana wameacha shuli zao za kuingiza kipato Kwa ajiri ya kulelea watoto wao, na kuja kumpokea ndugu Yao, halafu wanaambulia kutukana eti WAMELAANIWA?
Hata wakulima wako duniani kote lakini wakulima wa vijiji vya Tanzania hawalinganishwi na china, cuba, marekani nk. Hii ni bongo imekaa kibongobongo
 
Wewe ni chizi aisee
 
Ni sawa na kusema jf kuna great thinkers lakini kumbe kuna mtu kama wewe pia
 
Heee!umelipwa nyingi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Zungumzia vijana wasio wasomi wanasaidiwa vipi kwenye ajira rasmi ?kwa vijana wasomi kila siku serikali inatengeneza mazingira ya kuwaajiri lakini vipi wale wasio wasomi ambalo ni kundi kubwa zaidi.
 
Zungumzia vijana wasio wasomi wanasaidiwa vipi kwenye ajira rasmi ?kwa vijana wasomi kila siku serikali inatengeneza mazingira ya kuwaajiri lakini vipi wale wasio wasomi ambalo ni kundi kubwa zaidi.

Serikali inachofanya Kwa vijana wasomi ni kuwaambia wajiunge vikundi vya watu 20 waende Kwa mkurugenzi wa halmashauri yao wakachukue 2M wafuge samaki, kuku, sungura, hakuna la zaidi hapo

Vijana ambao sio wasomi msaada wao ni kuwapa project Tu, hawa wachina wengi ambao unawaona Africa ni vijana ambao hawana Ajira huko kwao so serikali inaweka kwenye makampuni ya china au ya nje ya china

Jaribu kuwaza Nani amepata tenda ya kufagia barabara? Nani amepata tenda ya kusafisha office za serikali?

Kwanini hizo mambo wasipewe vijana ambao hawana shule?

Why wasijiunge vikundi vya watu 20 wakapewa vifaa vya usafi na barabara then wakalipwa kama wanavyolipwa hao ambao wamechukua tenda?
 
Zungumzia vijana wasio wasomi wanasaidiwa vipi kwenye ajira rasmi ?kwa vijana wasomi kila siku serikali inatengeneza mazingira ya kuwaajiri lakini vipi wale wasio wasomi ambalo ni kundi kubwa zaidi.
Hayo mazingira yametengenezewa wapi?
Kwani wewe unaishi wapi huko ambako kilasiku serikali inawaajiri vijana? Upo Tanzania kweli?
 
Bodabodaa wako duniani kote, inamaana Nako uko wamelaaniwaa?? Vijana wameacha shuli zao za kuingiza kipato Kwa ajiri ya kulelea watoto wao, na kuja kumpokea ndugu Yao, halafu wanaambulia kutukana eti WAMELAANIWA?
Naweza kusema ni kweli,Sababu bodaboda wengi Inchi wanazohangaika,Viongozi wake ni wezi wa kutupa kama Tanzania,badala ya kuwatengenezea uchumi na ajira wananchi wao, wenyewe wanaishia kujilipa mishahara mikubwa kutembelea magari ya anasa maV8,na kuiba hera kuficha inje ya inchi,halafu wanajifanya kuwapanga mafuta kwa mgongo wa chupa bodaboda wetu
 
ccm inawajali na kuwaheshimisha bodaboda kwa lipi
 
CCM inastawi Kwenye Umaskini na Ujinga.
Hivi Vitu ukivipunguza CCM inakufa.
 
Acha kuwapumbaza, hao viongozi wa CCM mbona wanawapa vyeo watoto na wajukuu zao, madukani bodaboda zipo nyingi tu kwanini hawawanunulii wafanye kazi hizo kama ni nzuri.
Kwa kweli bodaboda siyo kazi ya kuitegemea maisha yako yote na wala hakuna mzee aliyefundisha mwanawe na kutarajia kuwa siku moja atakuwa bodaboda.
 
Nimejaribu kukutana na bodaboda wasomi kiukweli wamempuza lema si mchezo
 
Kwahiyo ndio sababu KIJANA wenu ya kuwatukana waendesha bodaboda WAMELAANIWA??
 
Hivi ni mtoto wa kiongozi gani anayeendesha boda?
Sijawai kuona mtoto wa kiongozi yeyote akiendesha bodaboda.
Lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa Lema kajikwaa kwenye maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…