ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
- #21
Texts tiger duh bonge la IDDah we jamaa kweli ndege John [emoji1787]
Life yako unaijua mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Texts tiger duh bonge la IDDah we jamaa kweli ndege John [emoji1787]
Life yako unaijua mwenyewe.
Hahahahaha tia tano mkuu [emoji109]Odds 5 izo kwa buku ume tisha
Hio pesa alipewa na huyo demu faidi bonus trackJuzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.
Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.
Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.
Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.
Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
DahJuzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.
Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.
Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.
Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.
Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Huna baya mkwe ila kumbuka kuleta mahari tu.Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.
Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.
Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.
Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.
Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Ya leo yatajulikanaYaani badala ununue unga na Dagaa za kesho umekimbilia konyagi tena?
Unga na sukari wapi na wapi, wewe kila mtu unadhani ni Fei toto[emoji16][emoji16]aisee kunamambo yanachekesha sana ugali daga na marage alafu unakwenda kufakamia konyagi ilihali mlo ni wamang'amung'amu ungesaga hata unga wa lishe na sukari kilo
Nini bia kainuwea konyagi yaaniDuh!. Alafu hela yenyewe umeenda kuinywea bia? Bora ungeitunza kwa ajili ya dagaa zako..
AiseeJuzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.
Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.
Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.
Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.
Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Shikamooo mkuuu,ahaaaaaJuzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.
Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.
Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.
Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.
Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
AahaaaaUnga na sukari wapi na wapi, wewe kila mtu unadhani ni Fei toto[emoji16][emoji16]
Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.
Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.
Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.
Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.
Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko uliUzii
Yani hao dagaa huko tumboni lazima waamke aseeIla matumbo yanapitia mengi
Imagine dagaa,maharage na konyagi 🥶🤮🤮