Bodaboda na demu wameyakanyaga Mungu asante ila nisamehe

Bodaboda na demu wameyakanyaga Mungu asante ila nisamehe

Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.

Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.

Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.

Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.

Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Hio pesa alipewa na huyo demu faidi bonus track
 
Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.

Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.

Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.

Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.

Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Dah
 
Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.

Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.

Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.

Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.

Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Huna baya mkwe ila kumbuka kuleta mahari tu.
 
Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.

Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.

Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.

Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.

Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Aisee
 
Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.

Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.

Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.

Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.

Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko ulipo.
Shikamooo mkuuu,ahaaaaa
 
Wengine kuiba hatuwezi, nikirudishiwa chenchi zaidi miguu inakua mizito kuondoka nabaki nashangaa tu
 
Kweli we ni kichwa mbovu yaani umepika ugal na maharaga unamwita demu mageton kujichoresha.... Aliyesema hakunaga gangsters cku hiz alitupga... Gangster si ndo ww
 
Uzii huu unatufundisha nn
Juzi kati nilileta thread jinsi navyoishi chini ya dollar moja kwa siku yote naizingatia kwenye mboga na nikasema mademu zangu kwa sasa wanalia njaa ya chakula mambo sio mambo.

Sasa leo nimepika zangu dagaa, mchicha na maharage nataka kusonga ugali mara simu inaingia ya mwali unaulizia nilichopika nikamwambia akasema anapenda dagaa sana nikamwambia njoo chukua boda nina buku la ngama na kweli nilibaki na 1400.

Kweli demu kaja magetoni ile namlipa boda 1000 sijui ikawaje akiwa anaweka hela kadondosha 10000 me nikaiona kidogo niingie huruma nimwambie boda umeangusha ten ila kashetani kakanituliza niache wenge nikala buyu..kweli bwana boda kasepa nikamwingiza demu fasta ndani nikamwambia nakuja nikarudi nje nikachukua buku ten langu nikaificha.

Tumesonga ugali tumekula kisha kifuatacho mnakijua nikala na kazaga buree..bado mpaka muda huu niko na demu sehem tumekaa me konyagi ndogo yeye bia 2 serengeti lager na nahisi harudi kwao analala.

Akili mtu wangu kama ni kutapanya hela na sisi tushatapanya sasa ni muda wa kuokota vifaida vidogovidogo pole sana bodaboda huko uliUzii
 
Back
Top Bottom