Kwitogelo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 310
- 442
Kipindi cha kampeni bodaboda hufanya amsha amsha ya mitaa na kuhadaiwa na wanasiasa kuwachagua kwa ahadi fulani.
Baada tu ya uchaguzi kuisha hudharauriwa na wanasiasa kama walivyodharauriwa na Lema.
Walimu hawa kazi yao haitofautini sana na bodaboda katika kuwafikisha wanasiasa pale wanapotaka kufika kisiasa.
Ndugu zetu hawa hutumia elimu zao na ushawishi wao kuanzia kwa wanafunzi mpaka kwa jamii (nje ya mazingira ya shule) na wanafunzi na jamii kwa ujumla huamini kile wanachoambiwa na walimu.
Baada tu ya uchaguzi kupita kudharauriwa ndo kama hivi hadi bodaboda nae anamdharau kiasi hiki na kusahau kwamba aliyeanzisha dharau dhidi yao(bodaboda) syo mwalimu bali ni mwanasiasa.
Bodaboda acheni dharau dhidi ya mwalimu, wote kwa wanasiasa nyie ni madaraja kwao!!!
Baada tu ya uchaguzi kuisha hudharauriwa na wanasiasa kama walivyodharauriwa na Lema.
Walimu hawa kazi yao haitofautini sana na bodaboda katika kuwafikisha wanasiasa pale wanapotaka kufika kisiasa.
Ndugu zetu hawa hutumia elimu zao na ushawishi wao kuanzia kwa wanafunzi mpaka kwa jamii (nje ya mazingira ya shule) na wanafunzi na jamii kwa ujumla huamini kile wanachoambiwa na walimu.
Baada tu ya uchaguzi kupita kudharauriwa ndo kama hivi hadi bodaboda nae anamdharau kiasi hiki na kusahau kwamba aliyeanzisha dharau dhidi yao(bodaboda) syo mwalimu bali ni mwanasiasa.
Bodaboda acheni dharau dhidi ya mwalimu, wote kwa wanasiasa nyie ni madaraja kwao!!!