Bodaboda vs Polisi: Sikio la kufa halisikii dawa

Bodaboda vs Polisi: Sikio la kufa halisikii dawa

Chendembe

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
444
Reaction score
488
Malalamiko ya wamiliki wa bodaboda/pikipiki yamezoeleka masikioni mwetu na kupelekea hali inayoendelea Sasa hata JamiiForums kuona hakuna sababu ya kuliongelea tena.

Mimi nimeona nisichoke katika hili. Wabunge ni walewale, viongozi ni walele na Sheria ni zilezile.

Najiuliza shangwe zile za wabunge wetu na bodaboda zimepotelea wapi, sipati majawabu.

Kukiwa na tukio la uhalifu lililo husu bodaboda, basi wenzetu wanakuwa wamepata sababu ya kukusanya boda Bila mahalifa. Mbaya zaidi inakuwa chanzo Cha mapato.

Niseme tu adhabu/faini ile iliyoshangiliwa si chochote kwa Sasa. Msako ukikupitia, jiandae kuchanjwa kivyako na Bila risiti.

Nadhani wengi tunaona malundo ya pikipiki vituoni.

Tafadhali viongozi watambue kuwa PIKIPIKI ni mkombozi wa wananchi kwa Sasa. Zinasafirisha wagonjwa haraka, zinasafiri maiti huko vijijini, na zinaharakisha huduma mbalimbali.

Naomba tuziheshimu na kuzilinda. Tusisubiri wakati wa uchaguzi tuu.

Ni hayo tuuu
 
Nimewahi kiti ya mbele kabsaa kwenye huu Uzi,hali siyo kabsaa mtaani kati polisi na boda.
 
Ningekuwa Rais ningewaondolea polisi wangu mamlaka ya kudili na vyombo vya moto.
Nadhani Tumefanya kosa kuwapa mamlaka hawa watu kutoza faini. Raha ya kuendesha haipo kabisa
 
Ni Mkombozi na Kaburi linalotembea kufuata Wateja!!! Usalama barabarani ni issue bado
 
Nadhani Tumefanya kosa kuwapa mamlaka hawa watu kutoza faini. Raha ya kuendesha haipo kabisa
Wameruhusiwa kuchukua rushwa bila woga, Fikiria daladala zinachangishwa Kwa lazima kila siku kulipia route, kama Makumbusho Bunju unalipia 5,000/- bila aibu
 
Hata gari, meli, ndege zinauwa pia.
Ni kweli zinaua ila angalau wanafuata sheria na taratibu zinazozuia na kupunguza ajali!! Ila Kwa bodaboda Kwa sisi watumiaji the way wanavyokuwa hawajui kama barabara au chombo Cha moto kina sheria za matumizi!! Lazima useme ni Kaburi linalotembea, wakifuatiwa na Bajaji
 
Level Yao ya kuchukua rushwa na kubambikia makosa inajenga chuki kati ya wananchi na serekali Yao, Fikiria hata Wabunge wameshindwa kutetea wakawa wamejipendekezea plates numba special badala ya kupambana na waziri WA Mambo ya ndani, selfish Ness
 
Malalamiko ya wamiliki wa bodaboda/pikipiki yamezoeleka masikioni mwetu na kupelekea hali inayoendelea Sasa hata JamiiForums kuona hakuna sababu ya kuliongelea tena.

Mimi nimeona nisichoke katika hili. Wabunge ni walewale, viongozi ni walele na Sheria ni zilezile.

Najiuliza shangwe zile za wabunge wetu na bodaboda zimepotelea wapi, sipati majawabu.

Kukiwa na tukio la uhalifu lililo husu bodaboda, basi wenzetu wanakuwa wamepata sababu ya kukusanya boda Bila mahalifa. Mbaya zaidi inakuwa chanzo Cha mapato.

Niseme tu adhabu/faini ile iliyoshangiliwa si chochote kwa Sasa. Msako ukikupitia, jiandae kuchanjwa kivyako na Bila risiti.

Nadhani wengi tunaona malundo ya pikipiki vituoni.

Tafadhali viongozi watambue kuwa PIKIPIKI ni mkombozi wa wananchi kwa Sasa. Zinasafirisha wagonjwa haraka, zinasafiri maiti huko vijijini, na zinaharakisha huduma mbalimbali.

Naomba tuziheshimu na kuzilinda. Tusisubiri wakati wa uchaguzi tuu.

Ni hayo tuuu
Kati ya watu unaohitaji kuchukua tahadhari kabla ya kuanza kuwatetea ni nyie Bodaboda. Mbali ya matukio machache ya polisi kuwaonea wachache wenu, lakini kwa kiwango kikubwa polisi wanawalea sana. Nyie ni pasua kichwa. Hamjui mnataka nini hamtaki nini. Kiujumla wengi wenu hamjielewi kwa sababu zifuatazo;
1.Hamjali Usalama wenu, wa Abiria mnaowabeba wala watumiaji wengine wa barabara.
2.Wengi wenu mnatumika vibaya hata na watu wabaya kama wahalifu.
3.Bodaboda kimekuwa kichaka cha vijana Wahalifu na mnawakaba na pengine kuwabaka Abiria hususan wa kike.
4.Mmekuwa maajenti wa usaliti wa ndoa za watu kwa ujira mdogo mnaoongezewa zaidi ya nauli ya kawaida.
5.Waangamizaji wa maono ya wanafunzi wa kike. Mitambo ya mimba za utotoni.
Nk nk nk!
Kwa matendo hayo na jinsi mnavyofichiana siri hata Jamii kwa sasa inawaona polisi wako sahihi kuwabana. Hata wewe utakubaliana na Mimi support mliyokuwa mnapata awali toka kwa wananchi haipo tena.
Toeni kwanza boliti katika macho yenu ili muone uovu wenu kabla ya kuwanyooshea kidole polisi hata kama tunawajua wana mapungufu.
 
Kati ya watu unaohitaji kuchukua tahadhari kabla ya kuanza kuwatetea ni nyie Bodaboda. Mbali ya matukio machache ya polisi kuwaonea wachache wenu, lakini kwa kiwango kikubwa polisi wanawalea sana. Nyie ni pasua kichwa. Hamjui mnataka nini hamtaki nini. Kiujumla wengi wenu hamjielewi kwa sababu zifuatazo;
1.Hamjali Usalama wenu, wa Abiria mnaowabeba wala watumiaji wengine wa barabara.
2.Wengi wenu mnatumika vibaya hata na watu wabaya kama wahalifu.
3.Bodaboda kimekuwa kichaka cha vijana Wahalifu na mnawakaba na pengine kuwabaka Abiria hususan wa kike.
4.Mmekuwa maajenti wa usaliti wa ndoa za watu kwa ujira mdogo mnaoongezewa zaidi ya nauli ya kawaida.
5.Waangamizaji wa maono ya wanafunzi wa kike. Mitambo ya mimba za utotoni.
Nk nk nk!
Kwa matendo hayo na jinsi mnavyofichiana siri hata Jamii kwa sasa inawaona polisi wako sahihi kuwabana. Hata wewe utakubaliana na Mimi support mliyokuwa mnapata awali toka kwa wananchi haipo tena.
Toeni kwanza boliti katika macho yenu ili muone uovu wenu kabla ya kuwanyooshea kidole polisi hata kama tunawajua wana mapungufu.
Hawa watu ni wajinga sana, Kwanza wenyewe wanaamini Sheria za barabarani haziwahusu, pamoja na uliyoyasema hapo juu nakazia wao ndio chanzo kikubwa cha ongezeko la ajali nchini, mimi uwa naona bado police hawajaweza kuwadhibiti ipasavyo na tatizo ni kuingiza siasa kwenye kila jambo! Hakuna mtu aliyekaa akafanya tathmini ila ikifanyika nina uhakika athari za uwepo wa boda boda zinaweza zikazidi faida zake.
 
Kati ya watu unaohitaji kuchukua tahadhari kabla ya kuanza kuwatetea ni nyie Bodaboda. Mbali ya matukio machache ya polisi kuwaonea wachache wenu, lakini kwa kiwango kikubwa polisi wanawalea sana. Nyie ni pasua kichwa. Hamjui mnataka nini hamtaki nini. Kiujumla wengi wenu hamjielewi kwa sababu zifuatazo;
1.Hamjali Usalama wenu, wa Abiria mnaowabeba wala watumiaji wengine wa barabara.
2.Wengi wenu mnatumika vibaya hata na watu wabaya kama wahalifu.
3.Bodaboda kimekuwa kichaka cha vijana Wahalifu na mnawakaba na pengine kuwabaka Abiria hususan wa kike.
4.Mmekuwa maajenti wa usaliti wa ndoa za watu kwa ujira mdogo mnaoongezewa zaidi ya nauli ya kawaida.
5.Waangamizaji wa maono ya wanafunzi wa kike. Mitambo ya mimba za utotoni.
Nk nk nk!
Kwa matendo hayo na jinsi mnavyofichiana siri hata Jamii kwa sasa inawaona polisi wako sahihi kuwabana. Hata wewe utakubaliana na Mimi support mliyokuwa mnapata awali toka kwa wananchi haipo tena.
Toeni kwanza boliti katika macho yenu ili muone uovu wenu kabla ya kuwanyooshea kidole polisi hata kama tunawajua wana mapungufu.
Sio pikipiki zote ni za kubeba abiria ki biashara. Watu wananunua kusaidia shughuli za kifamilia lakini zote zinaonekana sawa. Ujitambuwi na umekosa mahalifa. Na nacherea kusema nawe ni miongoni wa wasumbufu na mla rushwa. Laana ya mwenyezimungu iwe juu yenu wote mnaodhurumu.
 
Malalamiko ya wamiliki wa bodaboda/pikipiki yamezoeleka masikioni mwetu na kupelekea hali inayoendelea Sasa hata JamiiForums kuona hakuna sababu ya kuliongelea tena.

Mimi nimeona nisichoke katika hili. Wabunge ni walewale, viongozi ni walele na Sheria ni zilezile.

Najiuliza shangwe zile za wabunge wetu na bodaboda zimepotelea wapi, sipati majawabu.

Kukiwa na tukio la uhalifu lililo husu bodaboda, basi wenzetu wanakuwa wamepata sababu ya kukusanya boda Bila mahalifa. Mbaya zaidi inakuwa chanzo Cha mapato.

Niseme tu adhabu/faini ile iliyoshangiliwa si chochote kwa Sasa. Msako ukikupitia, jiandae kuchanjwa kivyako na Bila risiti.

Nadhani wengi tunaona malundo ya pikipiki vituoni.

Tafadhali viongozi watambue kuwa PIKIPIKI ni mkombozi wa wananchi kwa Sasa. Zinasafirisha wagonjwa haraka, zinasafiri maiti huko vijijini, na zinaharakisha huduma mbalimbali.

Naomba tuziheshimu na kuzilinda. Tusisubiri wakati wa uchaguzi tuu.

Ni hayo tuuu
We fuata sheria na kanuni tu wala hukamatwi, vinginevyo acha umbea mitandaoni, Unakuta jitu halina leseni, Bima, halivai helmet limebeba mshikaki, na jingine linapora pochi za wamama halafu waachwe tu!!? jitafakari wewe.
 
We fuata sheria na kanuni tu wala hukamatwi, vinginevyo acha umbea mitandaoni, Unakuta jitu halina leseni, Bima, halivai helmet limebeba mshikaki, na jingine linapora pochi za wamama halafu waachwe tu!!? jitafakari wewe.
Unaangamia kwa kukosa mahalifa. Na Mungu anakuona. Ndio mwisho wako wa kuona na kutende huo. Insha'allah utadhurumu na utafedheheshwa tuu.
 
Unaangamia kwa kukosa mahalifa. Na Mungu anakuona. Ndio mwisho wako wa kuona na kutende huo. Insha'allah utadhurumu na utafedheheshwa tuu.
Watu mnazziba barabara na kukamata Kila pikipiki inayopita bila kuangalia athali za kijamii zinazopatikana na mkikamata lazima mtoze pesa Kila pikipiki. Dhuluma haimwachi mtu salaamaa. Ndio sababu mkistaafu mnakuwa matahaira.
 
Malalamiko ya wamiliki wa bodaboda/pikipiki yamezoeleka masikioni mwetu na kupelekea hali inayoendelea Sasa hata JamiiForums kuona hakuna sababu ya kuliongelea tena.

Mimi nimeona nisichoke katika hili. Wabunge ni walewale, viongozi ni walele na Sheria ni zilezile.

Najiuliza shangwe zile za wabunge wetu na bodaboda zimepotelea wapi, sipati majawabu.

Kukiwa na tukio la uhalifu lililo husu bodaboda, basi wenzetu wanakuwa wamepata sababu ya kukusanya boda Bila mahalifa. Mbaya zaidi inakuwa chanzo Cha mapato.

Niseme tu adhabu/faini ile iliyoshangiliwa si chochote kwa Sasa. Msako ukikupitia, jiandae kuchanjwa kivyako na Bila risiti.

Nadhani wengi tunaona malundo ya pikipiki vituoni.

Tafadhali viongozi watambue kuwa PIKIPIKI ni mkombozi wa wananchi kwa Sasa. Zinasafirisha wagonjwa haraka, zinasafiri maiti huko vijijini, na zinaharakisha huduma mbalimbali.

Naomba tuziheshimu na kuzilinda. Tusisubiri wakati wa uchaguzi tuu.

Ni hayo tuuu
Katika nchi hii watu wa hovyo ni hawa waendesha bodaboda,wanasababisha ajari za hovyo kabisa ,mbaya zaidi wabagonga watu wanakimbia bila kuwapa msaada,Nina ushahidi kamili na makosa ya ovyo yanayofanywa na bodaboda,naomba polisi wasiwachekee hawa bodaboda la sivyo tutakuwa na vilema wengi hapa nchini,waliowengi hawa bodaboda sheria za barabarani zero kichwani,acheni kulalama mnasababisha wenyewe hamna ustaarabu,ndo maana baadhi ya wenye maghari wanawagonga bila huruma
 
Back
Top Bottom