Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na reo tupo raundabaut ya bahi rod, tutarikamata ripikipiki rako kama turivofanya last week mpaka urikatie bima na uweke site mirrosWatu mnazziba barabara na kukamata Kila pikipiki inayopita bila kuangalia athali za kijamii zinazopatikana na mkikamata lazima mtoze pesa Kila pikipiki. Dhuluma haimwachi mtu salaamaa. Ndio sababu mkistaafu mnakuwa matahaira.
Msaada ni sawa, ila ni muhimu kuwa na control and checks, kupunguza maafaPamoja na hayo bado zinasaidia sana
Wala polisi hawaangaiki naoKatika watu wanaodekezwa sana na polisi ni watu wa bodaboda wahalifu wengi wamejificha kwenye bodaboda, sheria za usalama barabarani hawafati hata kidogo ni vyanzo vya ajali nenda kwenye traffic lights uone wanavyopita ndo utajua wanadekezwa