Katika watu wanaodekezwa sana na polisi ni watu wa bodaboda wahalifu wengi wamejificha kwenye bodaboda, sheria za usalama barabarani hawafati hata kidogo ni vyanzo vya ajali nenda kwenye traffic lights uone wanavyopita ndo utajua wanadekezwa
Watu mnazziba barabara na kukamata Kila pikipiki inayopita bila kuangalia athali za kijamii zinazopatikana na mkikamata lazima mtoze pesa Kila pikipiki. Dhuluma haimwachi mtu salaamaa. Ndio sababu mkistaafu mnakuwa matahaira.
Katika watu wanaodekezwa sana na polisi ni watu wa bodaboda wahalifu wengi wamejificha kwenye bodaboda, sheria za usalama barabarani hawafati hata kidogo ni vyanzo vya ajali nenda kwenye traffic lights uone wanavyopita ndo utajua wanadekezwa