Bodaboda wadai kulipwa ili waandamane, wamesema Wanasiasa wote wanawatumia

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Mwenyekiti wa bodaboda wilaya ya Ubungo Dar es Salaam, amesema kwamba baadhi ya vijana wake wa bodaboda walifuatwa na kuahidiwa kupewa mafuta na posho ili washiriki kwenye maandamano lakini kwa mujibu wake yeye alikataa kushiriki.

ANGALIA VIDEO HAPA

Your browser is not able to display this video.


Source - EastAfricaTv
 
😂😂😂Wanaanzaje kulaaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…