mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Kabisa mkuuHawa jamaa wapumbavu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuHawa jamaa wapumbavu sana
Sio dar tu hata mikoaniDar kumejaa wanaume wambea wambea yaan ukikutwa kijiwe Dar popote jua wajinga wanasogoa umbea yaan ni umbea kwa kwenda mbele wanawake hawakai vibarazani siku hizi kupiga umbea Ila umbea umehamia kwa wanaume aibu sana wanaume kutwa wanapiga umbea tu kijiweni unauma sana bodaboda wakikosa abiria kifuatacho ni umbea tu yaan ni umbea kwa kwenda mbele akipita mtu tu wanaanza kumfungulia topic
Hii ni tabia yangu kabisaAcha mazoea na mtu uliyemzidi Kwa hatua yoyote Ile.
Jifunze kua na Siri hata Kwa rafiki wa karibu, Epuka au punguza kukutana na wafanyakazi wenzako hasa wakati wa jioni
You will be invisible
Mpenzio alikuja kubali kujenga kwenye kiwanja chako[emoji23]Wenye bodaboda wetu[emoji135]
Shemeji atazipata tu taarifa zako hakuna siriWenye bodaboda wetu[emoji135]
Hilo nalo ni DOA Kwa mamsapu, inakuwaje akubaliane na umbea uchara!? Yeye alikuwa na stori Gani hadi mazungumzo yakaanza ya umbea!?Aisee! Kwanza nilishangaa kilichomuwasha kuanza kumsimulia mamsapu wangu mambo ya kiume kwa jinsia KE.
Military mindHii ni tabia yangu kabisa