Bodaboda wavamia ofisi ya Serikali ya Mtaa Tabata, wamchukua mwizi wa Bodaboda watokomea naye kusikojulikana

Bodaboda wavamia ofisi ya Serikali ya Mtaa Tabata, wamchukua mwizi wa Bodaboda watokomea naye kusikojulikana

Ila bodaboda wakikudaka kwenye 18 zao umeisha. Hawa jamaa hawanaga simile wanakuua ASAP.

Kuna yule jamaa tanga alikua anaburuzwa kwenye kokoto, kuchoma moto kwao ni kawaida kabisa.

Ila wezi wa bodaboda ni washenzi sana, wanamuua boda halafu wanaenda kuiuza laki 5, uhai wa mtu laki 5 kweli.
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaboda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.

UPDATES....
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa ya Kichangani, Leonard Nyukuli alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema "Nipo nje ya ofisi, kama unataka taarifa zaidi njoo ofisini utapata taarifa rasmi ya kiofisi."
Pengine hao ni wezi wenzake wamekuja kumtorosha kijanja.
 
Buda boda huwa wanahisi dunia hii imeumbwa kwa ajili yao?
Wanapora watu cmu mchana kweupe watu wanawaangalia tu
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaboda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.

UPDATES....
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa ya Kichangani, Leonard Nyukuli alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema "Nipo nje ya ofisi, kama unataka taarifa zaidi njoo ofisini utapata taarifa rasmi ya kiofisi."
Rushwa aliozoea kuhonga imemponza
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaboda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.

UPDATES....
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa ya Kichangani, Leonard Nyukuli alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema "Nipo nje ya ofisi, kama unataka taarifa zaidi njoo ofisini utapata taarifa rasmi ya kiofisi."
Inaonekana Sasa hivi watu hawana Imani kabisa na Vyombo vya utowaji wa haki Tanzania ndiyo maana wananchi wenye hasira kali wanajichukulia Sheria mkononi! Na pia ukisoma maoni ya wachangiaji wengi hum nao wanauunga mkono watu kujichukulia Sheria mkononi! Vyombo vyetu vya utowaji wa haki kuanzia police, waendesha Mashitaka pamoja na Mahakama inabidi wajipime kwa hayo matukio ya kujichukulia Sheria mkononi kabla hali haijakua mbaya zaidi!!
 
Back
Top Bottom