Bodaboda zinachangia kumomonyoka kwa maadili

Bodaboda zinachangia kumomonyoka kwa maadili

Wakuu,

Biashara ya bodaboda imekuwa mkombozi kwa kurahisisha usafiri katika maeneo mengi nchi hii, mijini na hata nje ya miji.

Lakini pia imekuja na mambo mengi maovu, kama vile kutumika katika ujambazi na unyang'anyi ukiachilia mbali ajali nyingi zinazosababisha ulemavu wa kudumu hata vifo kwa madereva na abiria.

Hata hivyo, mada yangu inaangalia zaidi mmomonyoko wa maadili unaotokana na jinsi dereva na abiria wanavyokaribiana viungo vyao wakati wa safari. Hapa sitazingatia jinsia za abiria au dereva maana nadhani athari zake ni zile zile.

Mfano mimi ni mwanaume 😎😎, leo asubuhi nimepanda bodaboda, alipofika nikagundua amevaa boxer tu bila suruali au nguo nyingine juu yake. Kwa kuwa siko huko na sijaumbwa kumuwazia mwanaume mwenzangu, nikawaza tu, je uvaaji wa namna ile una maana gani? Je, hauwezi kuwaathiri wengine, abiria au hata dereva mwenyewe?

Na ni vipi wanaume watatu au wakati mwingine wanne wanapobanana katika style ya mishkaki! Hili nalo halina athari kweli za muda mrefu kwa watu hawa kimaadili?
SAYVILLE naona labda kama kuna kitu ulitaka simulia tu. Haiwezekani bodaboda awe na boxer tu nawe ukakubali akuendeshe na njia nzima trafik au polisi wamtizame tu.Ungesema wamekuwa makuwadi kuuza wanawake au wapeleka sehemu za maaasi na ujambazi hapo ningekuelewa lakini hili mla boxer tupu mhh bado haiingii akilini
 
SAYVILLE naona labda kama kuna kitu ulitaka simulia tu. Haiwezekani bodaboda awe na boxer tu nawe ukakubali akuendeshe na njia nzima trafik au polisi wamtizame tu.Ungesema wamekuwa makuwadi kuuza wanawake au wapeleka sehemu za maaasi na ujambazi hapo ningekuelewa lakini hili mla boxer tupu mhh bado haiingii akilini
Mkuu sitanii kwenye hili. Nilivyokuwa napanda niliona kama ni boxer kwa sababu ya ufupi na rangi yake, nikasema embu ngoja nitaangalia vizuri nikishuka. Nilivyokuwa nashuka nikaangalia vizuri nikajihakikishia kabisa. Na ilikuwa mida ya asubuhi sana kwa hiyo uwezekano wa kuwa ndiyo ameamka tu akasema akatafute hela ya chai ndiyo arudi kuvaa ni mkubwa!

Kuna watu wanaishi maisha ya ajabu sana hapa mjini, we acha tu.
 
Wakuu,

Biashara ya bodaboda imekuwa mkombozi kwa kurahisisha usafiri katika maeneo mengi nchi hii, mijini na hata nje ya miji.

Lakini pia imekuja na mambo mengi maovu, kama vile kutumika katika ujambazi na unyang'anyi ukiachilia mbali ajali nyingi zinazosababisha ulemavu wa kudumu hata vifo kwa madereva na abiria.

Hata hivyo, mada yangu inaangalia zaidi mmomonyoko wa maadili unaotokana na jinsi dereva na abiria wanavyokaribiana viungo vyao wakati wa safari. Hapa sitazingatia jinsia za abiria au dereva maana nadhani athari zake ni zile zile.

Mfano mimi ni mwanaume 😎😎, leo asubuhi nimepanda bodaboda, alipofika nikagundua amevaa boxer tu bila suruali au nguo nyingine juu yake. Kwa kuwa siko huko na sijaumbwa kumuwazia mwanaume mwenzangu, nikawaza tu, je uvaaji wa namna ile una maana gani? Je, hauwezi kuwaathiri wengine, abiria au hata dereva mwenyewe?

Na ni vipi wanaume watatu au wakati mwingine wanne wanapobanana katika style ya mishkaki! Hili nalo halina athari kweli za muda mrefu kwa watu hawa kimaadili?
Kuna kitu ulitaka kueleza ila umeishia jujuu sana. Mfano. Hujasema kuhusu ulevi, speed, kupiga honi bila sababu nk
 
Inasikitisha sana...

Hapo wewe ukichowaza nini, baada ya kuona jamaa ana boxer?
Acha mambo ya ajabu...
 
Back
Top Bottom