Bodaboda zinatudhalilisha sema basi tu hatuna jinsi

Bodaboda zinatudhalilisha sema basi tu hatuna jinsi

Umenikumbusha, ni juzi mida ya jioni nipo zangu kituoni ikapita boda nikapiga mkono mana ilikuwa inaelekea uelekeo ninaoenda, nikapanda ile hatujatoka mdada mmoja nae akaja kupanda akanambia "kaka shuka nikae kati unibambie vizuri",,,,,mzigo wa haja alikuwa nao na niliona safari fupi sana.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia.

Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata kidogo yani bora nishuke kama sina nauli ya kupanda boda yangu.

Kosa ni pale umeogazako safi halafu mmepigwa mshikaki na mtu mchafu domo harufu chafu kikwapa cha maana wakati we umepuliza marashi yako.

Wadada wao wana kitabia fulani cha kusikilizia maumbile yako kama una tango au bamia pale unapomtanguliza mbele.

Upepo huwavua nguo wanawake tena zinapanda juu na kubaki uchi mbele za watu kibaya zaidi ikitokea ajali hapo ndiyo huwaburuza na kuwavua nguo zote uchi wa mnyama.

Boda ni usafiri wetu hususani sisi ambao hatuna uwezo wa kununua usafiri wetu binafsi ila isiwe kigezo cha sisi kunyanyaswa hata sheria sijui kama inautambua mshikaki
Utakuwa unaishi Kivule kwenye shida ya usafiri ndo zenu mida ya jioni mnapeana mishkaki pale banana
 
Kuna siku natoka zangu Nkuhungu Dodoma kwenda town tumefika sehemu boda akasimama kumpandisha demu rafiki yake, nikaamua dem akae kati yetu aise yule dada ana tako laini sijawahi kuona, na mimi nikaw namsogelea zaidi

Mwisho. Naunga mkono hoja
 
We jamaa unaonekana unawaza mbali sana
Hakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia.

Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata kidogo yani bora nishuke kama sina nauli ya kupanda boda yangu.

Kosa ni pale umeogazako safi halafu mmepigwa mshikaki na mtu mchafu domo harufu chafu kikwapa cha maana wakati we umepuliza marashi yako.

Wadada wao wana kitabia fulani cha kusikilizia maumbile yako kama una tango au bamia pale unapomtanguliza mbele.

Upepo huwavua nguo wanawake tena zinapanda juu na kubaki uchi mbele za watu kibaya zaidi ikitokea ajali hapo ndiyo huwaburuza na kuwavua nguo zote uchi wa mnyama.

Boda ni usafiri wetu hususani sisi ambao hatuna uwezo wa kununua usafiri wetu binafsi ila isiwe kigezo cha sisi kunyanyaswa hata sheria sijui kama inautambua msh
 
Bodaboda bwana, wanaweza kula chipsi kavu wakati kutwa wanapakia mishikaki 😄 🤣 😂
 
Nauli zenu ndogo inabidi mpande wa2 km unalipa freshi bila malalamiko unapanda mwenyewe bwn
 
Au km unajipenda sana nunua yakwako yakuendea kazini ,au unasubiri 2050 utakaponunua gazi used ya umeme¿
 
Wapi huko? Kweli Tanzania kubwa sana!
 
Hakuna kitu kinanikera kama boda kuanzisha vijiwe getini kwangu. Yaan ukiacha watoto wenyewe huna amani acha tu
 
Hahaha sio tu mke wa mtu hata mimi nipande katikati tu ya wanaume wawili?never ever ni bora nitembee kwa miguu au nichkue yangu pekepeke
Kwa kifupi siweziiiiiii kabisa
Tupande mimi na wewe tu.
 
Hakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia.

Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata kidogo yani bora nishuke kama sina nauli ya kupanda boda yangu.

Kosa ni pale umeogazako safi halafu mmepigwa mshikaki na mtu mchafu domo harufu chafu kikwapa cha maana wakati we umepuliza marashi yako.

Wadada wao wana kitabia fulani cha kusikilizia maumbile yako kama una tango au bamia pale unapomtanguliza mbele.

Upepo huwavua nguo wanawake tena zinapanda juu na kubaki uchi mbele za watu kibaya zaidi ikitokea ajali hapo ndiyo huwaburuza na kuwavua nguo zote uchi wa mnyama.

Boda ni usafiri wetu hususani sisi ambao hatuna uwezo wa kununua usafiri wetu binafsi ila isiwe kigezo cha sisi kunyanyaswa hata sheria sijui kama inautambua mshikaki
Mnasaidiwa halafu mnakuja tena kulalamika .

Lipa nauli kamili kuepuka hizo kero ulizozitaja .
 
Back
Top Bottom