To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😳 🙌Mimi nataka tumwagiane laivu faraghani huku nikikuangalia usoni 0kwenye position ya kifo cha mende ukipiga yowee la utamu.
Huyu Mungu aliyemuumba mwanamke mwacheni tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳 🙌Mimi nataka tumwagiane laivu faraghani huku nikikuangalia usoni 0kwenye position ya kifo cha mende ukipiga yowee la utamu.
Huyu Mungu aliyemuumba mwanamke mwacheni tu.
Daaaah anatuaibisha mkuu!! 😁😁Nimebaki na mshangao, labda ni mgeni huyu sio muda itabidi apewe gari yake asitutie aibu.
Utakuwa unaishi Kivule kwenye shida ya usafiri ndo zenu mida ya jioni mnapeana mishkaki pale bananaHakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia.
Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata kidogo yani bora nishuke kama sina nauli ya kupanda boda yangu.
Kosa ni pale umeogazako safi halafu mmepigwa mshikaki na mtu mchafu domo harufu chafu kikwapa cha maana wakati we umepuliza marashi yako.
Wadada wao wana kitabia fulani cha kusikilizia maumbile yako kama una tango au bamia pale unapomtanguliza mbele.
Upepo huwavua nguo wanawake tena zinapanda juu na kubaki uchi mbele za watu kibaya zaidi ikitokea ajali hapo ndiyo huwaburuza na kuwavua nguo zote uchi wa mnyama.
Boda ni usafiri wetu hususani sisi ambao hatuna uwezo wa kununua usafiri wetu binafsi ila isiwe kigezo cha sisi kunyanyaswa hata sheria sijui kama inautambua mshikaki
Hakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia.
Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata kidogo yani bora nishuke kama sina nauli ya kupanda boda yangu.
Kosa ni pale umeogazako safi halafu mmepigwa mshikaki na mtu mchafu domo harufu chafu kikwapa cha maana wakati we umepuliza marashi yako.
Wadada wao wana kitabia fulani cha kusikilizia maumbile yako kama una tango au bamia pale unapomtanguliza mbele.
Upepo huwavua nguo wanawake tena zinapanda juu na kubaki uchi mbele za watu kibaya zaidi ikitokea ajali hapo ndiyo huwaburuza na kuwavua nguo zote uchi wa mnyama.
Boda ni usafiri wetu hususani sisi ambao hatuna uwezo wa kununua usafiri wetu binafsi ila isiwe kigezo cha sisi kunyanyaswa hata sheria sijui kama inautambua msh
Watu wa jf bwana ,kila mtu ana gari na anapanda boda tena analia na bukuNimebaki na mshangao, labda ni mgeni huyu sio muda itabidi apewe gari yake asitutie aibu.
Kwani wewe ulifikiri wote wanaopanda bodaboda hawana magari? Mo mwenyewe anapanda bodaboda.Watu wa jf bwana ,kila mtu ana gari na anapanda boda tena analia na buku
Tupande mimi na wewe tu.Hahaha sio tu mke wa mtu hata mimi nipande katikati tu ya wanaume wawili?never ever ni bora nitembee kwa miguu au nichkue yangu pekepeke
Kwa kifupi siweziiiiiii kabisa
Sio tabia nzuriEe boss mbona kibao tu hizo
Mnasaidiwa halafu mnakuja tena kulalamika .Hakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia.
Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata kidogo yani bora nishuke kama sina nauli ya kupanda boda yangu.
Kosa ni pale umeogazako safi halafu mmepigwa mshikaki na mtu mchafu domo harufu chafu kikwapa cha maana wakati we umepuliza marashi yako.
Wadada wao wana kitabia fulani cha kusikilizia maumbile yako kama una tango au bamia pale unapomtanguliza mbele.
Upepo huwavua nguo wanawake tena zinapanda juu na kubaki uchi mbele za watu kibaya zaidi ikitokea ajali hapo ndiyo huwaburuza na kuwavua nguo zote uchi wa mnyama.
Boda ni usafiri wetu hususani sisi ambao hatuna uwezo wa kununua usafiri wetu binafsi ila isiwe kigezo cha sisi kunyanyaswa hata sheria sijui kama inautambua mshikaki