Tetesi: Bodi Simba yaridhia kuachana na Robertinho

Tetesi: Bodi Simba yaridhia kuachana na Robertinho

View attachment 2769201

Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.

Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿

Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Kila mwaka inafukuza kocha na kuajiri kocha mpya! Timu ya ajabu sana hii.
 
View attachment 2769201

Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.

Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿

Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Namtasemaaa
 
Mkeka huo hapo.
FB_IMG_1696231260625.jpg
 
View attachment 2769201

Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.

Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿

Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Kaaazi kweli kweli.
 
View attachment 2769201

Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.

Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿

Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Taarifa yako hii sio ya kweli. Mimi nipo klubuni na vikao vyote nashiriki na hatujajadili suala la Kocha.
 
Manchester United mpaka leo bado hajafukuzwa. Stop making erratic decisions. Winning is a process. Hakuna instant results. Ingekuwa hivyo coach wa Arsenal angeshafukuzwa zamani.
 
View attachment 2769201

Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.

Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿

Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Msisubirie gemunya Prisons,mtoeni hata Leo

Tushawaambia muda mrefu timu mpeni Mgunda
 
Taarifa yako hii sio ya kweli. Mimi nipo klubuni na vikao vyote nashiriki na hatujajadili suala la Kocha.
Mnasubiri nini kumuondoa kocha? Miezi 9 yupo na timu bado hajapata muunganiko tu?
Hamuoni timu inashinda kwa uwezo binafsi wa wachezaji tu?

Au mpaka aitie hasara klabu ndio mumuondoe?

Kuweni na huruma na mioyo ya washabiki wenu!

Bado kurushiwa makopo tu!
 
Back
Top Bottom