Kila mwaka inafukuza kocha na kuajiri kocha mpya! Timu ya ajabu sana hii.View attachment 2769201
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.
Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿
Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
AnachekeshaKaongea ukweli
NamtasemaaaView attachment 2769201
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.
Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿
Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Kaaazi kweli kweli.View attachment 2769201
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.
Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿
Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Mkeka huo hapo.
View attachment 2769296
Taarifa yako hii sio ya kweli. Mimi nipo klubuni na vikao vyote nashiriki na hatujajadili suala la Kocha.View attachment 2769201
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.
Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿
Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
🤣🤣😂😁KabisaYanga watueleze na sisi twende kuchukua mmoja😅😅
MtajutaaaMkeka huo hapo.
View attachment 2769296
Msisubirie gemunya Prisons,mtoeni hata LeoView attachment 2769201
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.
Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿
Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Aahaaaaaaa,Bora mgunda arudi 👏 na Inaabidi tujue yanga wanapataga wap makocha wao
klubuni mnakunywa mbege hamjamjadili kocha?Taarifa yako hii sio ya kweli. Mimi nipo klubuni na vikao vyote nashiriki na hatujajadili suala la Kocha.
Bro kwenye 10% na wewe umoTaarifa yako hii sio ya kweli. Mimi nipo klubuni na vikao vyote nashiriki na hatujajadili suala la Kocha.
Mnasubiri nini kumuondoa kocha? Miezi 9 yupo na timu bado hajapata muunganiko tu?Taarifa yako hii sio ya kweli. Mimi nipo klubuni na vikao vyote nashiriki na hatujajadili suala la Kocha.
10% huwa haiepukiki popote pale. Hata kwenye Makanisa zile kamati za ununuzi wa viwanja vya Kanisa wanakula hadi 20% ndio maana mnashangaa kiwanja cha milioni 20 kanisa linanunua kwa milioni 200.Bro kwenye 10% na wewe umo