Hayo mafanikio Makubwa unayosema hayawezi kuletwa na Robertinho amini usiamini.Kama wameshaanza kuangaika hivi hiyo timu haiwezi kufika mahali.Viongozi wa simba wana mihemko sana,wanakosa utulivu wa muda mrefu kwenye kuiandaa timu ifike nafanikio makubwa.wanawaza mafanikio ya haraka haraka wakati bado ni timu mbovu.Mimi bado naamini simba ilikosea sana kuachana na Patrick Aussems(uchebe),kwasababu yule mzee ndiye angalau alianza kuipa timu makali na falsafa inayoeleweka.Wangekua wavumilivu kwa makocha wangepata wanachokitaka ila ilo somo inaonekana ni gumu kwao.
Tatizo ni uvumilivu.Kwani wakati wanampa kazi hawakujua hilo?.Kwasababu kama hawamwamini wakati walimtafuta wenyewe maana yake ata atakapokuja mwingine maneno yatakua haya haya.kwasababu timu kucheza vizuri kunachangiwa na vitu vingi.Hayo mafanikio Makubwa unayosema hayawezi kuletwa na Robertinho amini usiamini.
Kocha kasajiliwa maveteran anapambana apate matokeoView attachment 2769201
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.
Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania [emoji1241]
Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Simba ni dubwasha kubwa sio ya kucheza mpira wa ovyo kama wa jangwaniWabongo bana, mtu unashinda kuanzia ngao ya hisani, mechi zote NBC na unafuzu makundi lakini bado Wanataka kukutupia virago, mnataka afanyaje? Mbona Mourinho kwenye mafanikio hakua na pira biriyani?
Yanga wameaamua kuwa na falsafa ya klabu ambayo ni kumiliki mpira kwaiyo wanasajiri wachezaji na makocha wanaoendana na falsafa yao hapo hata kocha akiondoka uyo atakaekuja hatakua na ulazima wa kuanza upya kwa sababu anakuta tayari kuna misingi ya falsafa yake.. simba tangu kuondoka kwa uchebe falsafa ya timu imekua haijulikani kwaiyo inamlazimu kila kocha anaekuja kuanza upya hicho ndicho kinachowakwamishaBora mgunda arudi [emoji122] na Inaabidi tujue yanga wanapataga wap makocha wao
Unamzungumzia kocha wa arsenal ipi?Manchester United mpaka leo bado hajafukuzwa. Stop making erratic decisions. Winning is a process. Hakuna instant results. Ingekuwa hivyo coach wa Arsenal angeshafukuzwa zamani.
Kwa akili yako unaweza kumtoa al ahly ?Ila Kama taarifa hizi ni za kweli hatutaki kumsikia huyu kocha anatupa vijisababu kuwa alikuwa anapangiwa wachezaji na viongozi.
Ila nafikiri sio sahihi kuachana naye Sasa maana tuna mchezo ngumu wa Africa super league.
View attachment 2769201
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha ya kupewa asilimia kubwa ya wachezaji aliowahitaji.
Simba itatangaza uamuzi huo baada ya mechi dhidi ya Tanzania Prisons katika mwendelezo wa ligi kuu NBC Tanzania 🇹🇿
Juma Mgunda ataichukua timu kwa muda huku klabu ikiendelea kutafuta kocha wa kuja kuifundisha klabu hiyo na kumpa malengo yao.
Umeanza kufatilia mpira juziKwa akili yako unaweza kumtoa al ahly ?
Washabiki na wapenzi wa Simba/Yanga sc ni maneno tu. Wanaoumia ni wenye hisa Mkuu. Kama wewe ni mshabiki/ mpenzi wa timu flani, ikufungwa unalia basi pole, Otherwise hio timu iwe na mchango kwenye meza "wakati wa kuweka wocha kwenye mwili wakoWana thiiiiiimbaaaaaaa oooohh kimewaka na bado hamjasema mtakoma na kulia
Naunga mkono hojaWashabiki na wapenzi wa Simba/Yanga sc ni maneno tu. Wanaoumia ni wenye hisa Mkuu. Kama wewe ni mshabiki/ mpenzi wa timu flani, ikufungwa unalia basi pole, Otherwise hio timu iwe na mchango kwenye meza "wakati wa kuweka wocha kwenye mwili wako