Bodi ya ligi inawaza uchawi haina hata viwanja 10 vya mpira. Ina weakness nyingi. Mwenyekiti anawaza uchawi

Bodi ya ligi inawaza uchawi haina hata viwanja 10 vya mpira. Ina weakness nyingi. Mwenyekiti anawaza uchawi

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
tanzania ina watu wa ajabu sana . Yani ana matatizo kibao anawaza uchawi . List ya matatizo bodi ya ligi

1. Viwanja
2. Majukwaa
3. Wafadhili
4. 4k or hd coverage
5. App
6. Media coverage ya team zote
7. Match fixing
8.referees
9. Utilities.
10. Technology (var )
11. Laws on foreign players
12. League time table , ipo vibaya sana
13. Youth football
14. Training facilities
15. Education facilities za kocha na referrees
16 . etc.........


🚮🚮 chair man wa board

Uchawi ukatwe point 😂😂🚮🚮

Epl , world cup , caf kote ni fine . Maana wana bigger problems

🚮🚮🚮 nashindwa tu kumtukana . Hana akili

China akili kama hizi ni jera au death rol
 
Wazee wa viashilia vya kishirikina faini milioni moja

Wasipoona Viashiria vya Imani za kishirikina wanasikitika sana na kwenda kea mganga kuchungulia kwanini timu hazifanyi ushirikina
 
Sasa Bodi itoe Wapi Viwanja wakati hata timu Kongwe zenyewe hazina Viwanja?
 
Wazee wa viashilia vya kishirikina faini milioni moja

Wasipoona Viashiria vya Imani za kishirikina wanasikitika sana na kwenda kea mganga kuchungulia kwanini timu hazifanyi ushirikina
hata ukienda court bodi ya ligi can't prove it
 
Bado wanajitahidi kwa uwezo wao na siasa za bongo
amna kitu wanaweza, trust me akiingia mtu mweledi in 2 years tupo mbali sana. hawa wanatupeleka pole pole sana,

amna hongera, i could do better than them. any day any time any universe.
 
Back
Top Bottom