Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦💬Maswali mengine bhana!! Kwa hiyo mtu akija humu jukwaani na mada yake inayoihusu Yanga kuhusu ufinyu wa muda, basi mtu huyo anawakilisha mawazo ya watu wote wanao fungamana na Yanga!!
Kweli akili ni nywele.
Si mlifurahia kwenda kuchezea mchanga wa Dubai?𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦[emoji187]
"Ratiba yetu ni ngumu sana. Tumemaliza muda mwingi kwenye Ndege kuliko Uwanja wa mazoezi. Tangu jumatano hatujafanya mazoezi kujiandaa na mchezo huu.
Tumefika Mwanza jana usiku na tuna siku moja tu ya mazoezi. Hii sio rafiki kwa afya ya mwili wa wachezaji.
Hatuko hapa kulalamika lakini tunaamini Viongozi wa mpira wetu jambo hili kwa wakati mwingine wanatakiwa kulitazama kwa jicho tofauti" Kocha Mkuu Nasreddine Nabi
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Mnapenda kulalamika ninyi! Simba mechi zake walichezaje? Mbona walienda Malawi na Angola na hawakupewa huo upendeleo? Wapambane, waache malalamiko yasiyo na maana.Wananchi wako Mwanza now.
Kifupi Yanga wana ratiba ngumu sana ni vile tu wako bora na wanashinda mechi. Wangekuwa wanafungwa au kutoa sare sauti zingekuwa zimeshasikika mtaani!
Tuwaombee. Hawatendewi haki kabisa.
Hizi mechi kwa namna zilivyo jipanga, haki ya nani zitaondoka na benchi lote la ufundi, kwa mara nyingine tena.Nashangaa baadhi ya mashabiki mnavyojiogopa hii ratiba wala sio mbaya sana kwetu na mechi ya kesho hata tukipoteza au kutoa sare sioni shida yoyote, naona mtani kama ana ratiba ngumu zaidi kuliko sisi angalia kuanzia game ya Tz Prison mpaka ya kagera kati ya mechi 12 ni mechi 1 tu pekee ndio tutatoka nje ya dar, kuna watu lazima waje walie kwa hii ratiba.
Angalia game za mtani toka ya Ruvu mpaka kwa KMC.View attachment 2414509View attachment 2414510View attachment 2414511View attachment 2414512
Hii ni tathmini tu ya mwalimu. Na wala siyo malalamiko kama wengine wanavyotaka kulazimisha.𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦💬
"Ratiba yetu ni ngumu sana. Tumemaliza muda mwingi kwenye Ndege kuliko Uwanja wa mazoezi. Tangu jumatano hatujafanya mazoezi kujiandaa na mchezo huu.
Tumefika Mwanza jana usiku na tuna siku moja tu ya mazoezi. Hii sio rafiki kwa afya ya mwili wa wachezaji.
Hatuko hapa kulalamika lakini tunaamini Viongozi wa mpira wetu jambo hili kwa wakati mwingine wanatakiwa kulitazama kwa jicho tofauti" Kocha Mkuu Nasreddine Nabi
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Kocha wako analialia huko ratiba inambana[emoji23][emoji23][emoji23]wewe unadanga na timu kubwakubwa huku ukiwaombea mabayaHizi mechi kwa namna zilivyo jipanga, haki ya nani zitaondoka na benchi lote la ufundi, kwa mara nyingine tena.
Safari hii Matola wa watu hana pa kukimbilia. Lazima watamla tu kichwa na mwenzake Mgunda.
Nawaombea mabaya, au ndiyo ukweli wenyewe? Katika hizo mechi 8, lazima mtashinda, mtafungwa, na pia kutoa sare mechi kadhaa.Kocha wako analialia huko ratiba inambana[emoji23][emoji23][emoji23]wewe unadanga na timu kubwakubwa huku ukiwaombea mabaya
Naona watapoteana hapo na sisi tuna game tano tu tukikaza hapa basi tuna uhakika wa kutetea ubingwa.Hizi mechi kwa namna zilivyo jipanga, haki ya nani zitaondoka na benchi lote la ufundi, kwa mara nyingine tena.
Safari hii Matola wa watu hana pa kukimbilia. Lazima watamla tu kichwa na mwenzake Mgunda.
Profesori NABI jiandae na rungu la MSOMALI kwa kuisema vibaya TIFUTIFU. Kifungo na faini kama Manara vinakuhusu.𝗣𝗥𝗘𝗦𝗦[emoji187]
"Ratiba yetu ni ngumu sana. Tumemaliza muda mwingi kwenye Ndege kuliko Uwanja wa mazoezi. Tangu jumatano hatujafanya mazoezi kujiandaa na mchezo huu.
Tumefika Mwanza jana usiku na tuna siku moja tu ya mazoezi. Hii sio rafiki kwa afya ya mwili wa wachezaji.
Hatuko hapa kulalamika lakini tunaamini Viongozi wa mpira wetu jambo hili kwa wakati mwingine wanatakiwa kulitazama kwa jicho tofauti" Kocha Mkuu Nasreddine Nabi
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Hapo Tunis kulikuwa na Flight ya moja kwa moja bila kupitia Asia?Yaani wewe ni mpumbavu, unatoka Tunisia unapita Dubai kuzurura unataka nani akuonee huruma. Niwaulize Dubai mlipita kufanya Nini Kama siyo ushamba?
Alichokisema ni maoni yake kama mwalimu. Hivyo hata kama hiyo TFF yenyewe imejaa wanazi wa simba! Bado sioni rungu la aina yoyote ile kwa Profesa Nabi.Profesori NABI jiandae na rungu la MSOMALI kwa kuisema vibaya TIFUTIFU. Kifungo na faini kama Manara vinakuhusu.
Kumbukumbu ya hawa topolo ni fupi sana.Mda Simba inatoka S.africa nakipumzika siku 2 tu mlikua mnaona raha sio
Hakuna asiejua kuwa hayo ni maoni yake wala si malalamiko, lakini wenzako wameshapata sababu ya kumfungia kuwatoa mchezoni Uto na kuwapa nafasi Makolo.Alichokisema ni maoni yake kama mwalimu. Hivyo hata kama hiyo TFF yenyewe imejaa wanazi wa simba! Bado sioni rungu la aina yoyote ile kwa Profesa Nabi.
Mmh wew ni wa kuonewa huruma, nadhani hata ruti za ndege huzijuiYaani wewe ni mpumbavu, unatoka Tunisia unapita Dubai kuzurura unataka nani akuonee huruma. Niwaulize Dubai mlipita kufanya Nini Kama siyo ushamba?