Bodi ya Ligi: Tiketi za Simba Vs Yanga zitatumika tarehe itakayopangwa

Bodi ya Ligi: Tiketi za Simba Vs Yanga zitatumika tarehe itakayopangwa

Wewe ulitegemea tofauti na hivyo?
Turudi kuchambua.
1. Kwanini wasirejeshe pesa za watu kwanza ili watu wenyewe waamue kuja tena kwenye hiyo mechi au la?

2. Kwanini hawakutangaza kwanza tarehe rasmi ya mechi kupigwa kabla ya kuja na hiyo mipango ya kuwalazimisha watu kuingia uwanjani?

3. Ikiwa hawawezi kuwafidia watu gharama zingine walizoziingia au watakazoziingia ili kuja kuhudhuria hiyo mechi, kwanini wawalazimishe kuja uwanjani?
Ni kwa anayetaka tu. Asiyetaka si vibaya akaichukulia kama sadaka ya kwaresma
 
Nyie utopolo mmeenda kumzika shabiki wenu aliepigwa shoti??
Mtu mmeambiwa mpira hakuna mmejazana maeneo ya uwanja...
So sad...
 
Back
Top Bottom