Ni kwa anayetaka tu. Asiyetaka si vibaya akaichukulia kama sadaka ya kwaresmaWewe ulitegemea tofauti na hivyo?
Turudi kuchambua.
1. Kwanini wasirejeshe pesa za watu kwanza ili watu wenyewe waamue kuja tena kwenye hiyo mechi au la?
2. Kwanini hawakutangaza kwanza tarehe rasmi ya mechi kupigwa kabla ya kuja na hiyo mipango ya kuwalazimisha watu kuingia uwanjani?
3. Ikiwa hawawezi kuwafidia watu gharama zingine walizoziingia au watakazoziingia ili kuja kuhudhuria hiyo mechi, kwanini wawalazimishe kuja uwanjani?
Siyo marudio, mechi haijachezwa na tarehe haijapangwa.Uongozi wa Yanga sidhani kama utakubali Marudio ya hii mechi.
k nini kende?Tusipocheza unipe k
Hakuna Mkate mgumu mbele ya Chai, Mgeni rasmi ni Mamlaka sasa mtatoa wapi jeuri ya Kutoleta timu?Yanga ipi ? Hatuna game na Simbamsimu huu tena.....
Hatuna game na 5imba msimu 24/25.....
Upo sahihi mkuuWarudishiwe wenyewe.
Vipi kwa wàtakao kufa
Vipi kwa wàtakao kuwa HAWANA nafasi siku hiyo mpya
Vipi kwa wagonjwa
Vipi kwa Waliobadilisha preference
etc
Tusubirii tuoneHakuna Mkate mgumu mbele ya Chai, Mgeni rasmi ni Mamlaka sasa mtatoa wapi jeuri ya Kutoleta timu?
Kummerk nini kende?