Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu

Wakuu habar ya kaz wote

Bodi ya mikopo inafanya wizi wa waz kabisa.Mtu kamaliza mkopo toka mwaka 2017 eti mnaanza kumkata tena 2024 kwa kisingizio kuwa et kuna adminstration fees sijui na vitu gan havikulipwa,sasa unasubir miaka imepita mingi ndo unakuja unaleta hizo fees na kwann usingeziweka moja kwa moja kwenye mkopo kama ilivo kwa sasa.

Bodi ya mikopo imeamua kuwaibia watumishi wazwaz mchana kweupe na kila mtumishi anapotaka kupiga hatua fulan bas anavutwa na serikali yenyewe.Tunaomba serikali iingilie kati hili sakata la sivyo watumishi wa nchi hii wataendelea kuish maisha magum sn na watu wachache ndio wanaofanya michezo hio.

Wameshindwa kupambana na watu wapya mtaaani ili waongeze mapato matokeo yake wanaanza tengeneza makato mapya kwa watumishi wazamani ambao tayar washamaliza maden yao.

Haiingii akilini eti baada ya kupita miaka saba unakuja sema mtu anadaiwa na kuanza kumkata kama sio utapeli ni nini.

Mh rais tunaomba uingilie kati mana huu sasa ni zaid ya uonezi mkubwa na serikali inaendelea chafuliwa na watu wachache ambao wanakaa na kuanza tengeneza makato ambayo hayana kichwa wala miguu.

Watanzania wanaumizwa sn tena sn na watendaji wabovu ambao hawajui impact yoyote mana wao wanaangalia hela huku serikali ikiendelea kuchafuliwa.

Tunaomba wazir mwenye dhamana aliangalie hili na alishughulikie haraka sn mana sio vema tukaanza pelekana mahakaman na serikali ambayo tunaamini ni sikivu na inaweza tatua changamoto hio.

Naomba kuwasilisha
 
Wakuu habar ya kaz wote

Bodi ya mikopo inafanya wiz wa waz kabisa.Mtu kamaliza mkopo toka mwaka 2017 eti mnaanza kumkata tena 2024 kwa kisingizio kuwa et kuna adminstration fees sijui na vitu gan havikulipwa,sasa unasubir miaka imepita mingi ndo unakuja unaleta hizo fees na kwann usingeziweka moja kwa moja kwenye mkopo kama ilivo kwa sasa.
Bodi ya mikopo imeamua kuwaibia watumishi wazwaz mchana kweupe na kila mtumishi anapotaka kupiga hatua fulan bas anavutwa na serikali yenyewe.Tunaomba serikali iingilie kati hili sakata la sivyo watumishi wa nchi hii wataendelea kuish maisha magum sn na watu wachache ndio wanaofanya michezo hio.
Wameshindwa kupambana na watu wapya mtaaani ili waongeze mapato matokeo yake wanaanza tengeneza makato mapya kwa watumishi wazamani ambao tayar washamaliza maden yao.

Haiingii akilini eti baada ya kupita miaka saba unakuja sema mtu anadaiwa na kuanza kumkata kama sio utapeli ni nini.

Mh rais tunaomba uingilie kati mana huu sasa ni zaid ya uonezi mkubwa na serikali inaendelea chafuliwa na watu wachache ambao wanakaa na kuanza tengeneza makato ambayo hayana kichwa wala miguu.

Watanzania wanaumizwa sn tena sn na watendaji wabovu ambao hawajui impact yoyote mana wao wanaangalia hela huku serikali ikiendelea kuchafuliwa.

Tunaomba wazir mwenye dhamana aliangalie hili na alishughulikie haraka sn mana sio vema tukaanza pelekana mahakaman na serikali ambayo tunaamini ni sikivu na inaweza tatua changamoto hio.

Naomba kuwasilisha
Mna honga kupata mikopo 100% haliakua mnajua hao watu wako disorganised, wakati wengine mlikua na uwezo wakulipia hizo pesa za ada..... tulieni msikilizia system ambao ni corrupt inavo umiza.
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia jambo hili kumbe lipo kweli? Serikali yetu chini ya SSH italifanyia kazi
 
Kama ulikuwa umepewa mkopo ukalipa wote then system imekurudia siyo poa kabisa but wapo waliyokopa muda mrefu uliyopita na hawakuingizwa kwenye mfumo wa marejesho, wanapaswa kulipa.
 
Wakuu habar ya kaz wote

Bodi ya mikopo inafanya wiz wa waz kabisa.Mtu kamaliza mkopo toka mwaka 2017 eti mnaanza kumkata tena 2024 kwa kisingizio kuwa et kuna adminstration fees sijui na vitu gan havikulipwa,sasa unasubir miaka imepita mingi ndo unakuja unaleta hizo fees na kwann usingeziweka moja kwa moja kwenye mkopo kama ilivo kwa sasa.
Bodi ya mikopo imeamua kuwaibia watumishi wazwaz mchana kweupe na kila mtumishi anapotaka kupiga hatua fulan bas anavutwa na serikali yenyewe.Tunaomba serikali iingilie kati hili sakata la sivyo watumishi wa nchi hii wataendelea kuish maisha magum sn na watu wachache ndio wanaofanya michezo hio.
Wameshindwa kupambana na watu wapya mtaaani ili waongeze mapato matokeo yake wanaanza tengeneza makato mapya kwa watumishi wazamani ambao tayar washamaliza maden yao.

Haiingii akilini eti baada ya kupita miaka saba unakuja sema mtu anadaiwa na kuanza kumkata kama sio utapeli ni nini.

Mh rais tunaomba uingilie kati mana huu sasa ni zaid ya uonezi mkubwa na serikali inaendelea chafuliwa na watu wachache ambao wanakaa na kuanza tengeneza makato ambayo hayana kichwa wala miguu.

Watanzania wanaumizwa sn tena sn na watendaji wabovu ambao hawajui impact yoyote mana wao wanaangalia hela huku serikali ikiendelea kuchafuliwa.

Tunaomba wazir mwenye dhamana aliangalie hili na alishughulikie haraka sn mana sio vema tukaanza pelekana mahakaman na serikali ambayo tunaamini ni sikivu na inaweza tatua changamoto hio.

Naomba kuwasilisha
Hawa ni maumbwa sana! Mimi wamenipiga laki sita! Maninina!
 
Eti serikali sikivu, kwa akili hizo acha wakukate tu!
 
Wakuu habar ya kaz wote

Bodi ya mikopo inafanya wiz wa waz kabisa.Mtu kamaliza mkopo toka mwaka 2017 eti mnaanza kumkata tena 2024 kwa kisingizio kuwa et kuna adminstration fees sijui na vitu gan havikulipwa,sasa unasubir miaka imepita mingi ndo unakuja unaleta hizo fees na kwann usingeziweka moja kwa moja kwenye mkopo kama ilivo kwa sasa.
Bodi ya mikopo imeamua kuwaibia watumishi wazwaz mchana kweupe na kila mtumishi anapotaka kupiga hatua fulan bas anavutwa na serikali yenyewe.Tunaomba serikali iingilie kati hili sakata la sivyo watumishi wa nchi hii wataendelea kuish maisha magum sn na watu wachache ndio wanaofanya michezo hio.
Wameshindwa kupambana na watu wapya mtaaani ili waongeze mapato matokeo yake wanaanza tengeneza makato mapya kwa watumishi wazamani ambao tayar washamaliza maden yao.

Haiingii akilini eti baada ya kupita miaka saba unakuja sema mtu anadaiwa na kuanza kumkata kama sio utapeli ni nini.

Mh rais tunaomba uingilie kati mana huu sasa ni zaid ya uonezi mkubwa na serikali inaendelea chafuliwa na watu wachache ambao wanakaa na kuanza tengeneza makato ambayo hayana kichwa wala miguu.

Watanzania wanaumizwa sn tena sn na watendaji wabovu ambao hawajui impact yoyote mana wao wanaangalia hela huku serikali ikiendelea kuchafuliwa.

Tunaomba wazir mwenye dhamana aliangalie hili na alishughulikie haraka sn mana sio vema tukaanza pelekana mahakaman na serikali ambayo tunaamini ni sikivu na inaweza tatua changamoto hio.

Naomba kuwasilisha
Kwani administration fee inalipwa na loan body. Huo ni pure uonevu,. Kawashtaki mahakamani
 
Tuwe tunaangalia account zetu za benki umemaliza zako la saba unaambiwa ulimaliza chuo mkopo ukapewa asilimia 500
 
Hao hawana lolote Nilikuwa kwenye kampuni moja ivi 2022 wananikata kwenye salary Deni la HESLB lakini hawapeleki huku naona mbona deni halipungui...nikaenda pale Bodi kuwashtaki watu wa Bodi wakasema niandike Barua nikaandika ila hamna walichofanya...ila Nasikia walikuja pale Ofisini wakapewa Mlungula wakatulia.
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Juni 28, 2024) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo ya elimu ya juu.

Kampeni hiyo, inayofahamika kama Fichua imezinduliwa jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia ambaye amesema kampeni hiyo itaendeshwa kwa miezi miwli kuanzia leo, Juni 28.

Lengo la Kampeni ya Fichua
“Kampeni hii inalenga kuwashirikisha wananchi kutimiza jukumu la kizalendo la kuwafichua wadaiwa wa HESLB wenye kipato lakini hawajitokezi na kuanza kurejesha,” amesema Dkt. Kiwia katika mkutano na wanahabari.

“Tumeipa jina la Fichua – KUWA HERO WA MADOGO ili kuhamasisha wananchi kushiriki katika urejeshaji wa mikopo iliyoiva ili iwanufaishe wengine – hatua ambayo bila shaka itawawezesha vijana wengi zaidi kupata elimu ya juu na wewe mwananchi kuwa SHUJAA wao,” ameongeza Dkt. Kiwia.

Utaratibu wa kuwafichua wadaiwa sugu
“Ili kutoa taarifa za wadaiwa, mwananachi anapaswa kutuma majina ya mnufaika, chuo alichosoma, eneo analofanya kazi, jina la kampuni anayofanyia kazi au anayomiliki na eneo ilipo kampuni hiyo,” amesema Dkt. Kiwia.

Ameongeza kuwa mwananchi anashauriwa kutuma taarifa hizo kwa barua pepe (fichua@heslb.go.tz); kutuma ujumbe wa WhatsApp (0739 66 55 33); kupiga simu kwenda 0736 66 55 33 kati ya saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.

Njia nyingine ni pamoja na kutembelea tovuti www.heslb.go.tz na kuwasilisha taarifa kupitia kiunganishi cha ‘e-Mrejesho’. Pamoja na njia hizi, wananchi pia wanaweza kutuma ujumbe (DM – Direct Messages) kwenda Instagram, X (zamani Twitter) au Facebook kwa jina la ‘HESLB Tanzania’ LILILOTHIBITISHWA na lenye ‘blue tick’

Maoni ya wadau-wanafunzi
Akizungumzia kampeni hiyo, Japhet Makyao, mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Udaktari na Upasuaji katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala – Tanzania (KIUT) ameipongeza HESLB kwa ubunifu huo na kuwataka wadaiwa sugu wenye vipato kurejesha.

“Ukweli ni kuwa, mimi hadi sasa hivi mwaka wa tatu, bila Bodi ya Mikopo, nisingeweza kufika hapa … ningependa kuona waliowezeshwa kusoma na wana kipato, wajitokeze ili vijana wengine kama mimi wanufaike,” amesema Japhet mara baada ya uzinduzi huo.

Kwa upande wake, Khadija Sultan, mwanafunzi wa mwaka pili, Shahada ya Usimamizi wa Biashara katika Chuo Kikuu cha Tumaini – Dar es salaam (DarTU) ameishukuru Serikali kwa kumuwezesha kusoma na kuwaomba wadaiwa kumaliza kurejesha mikopo yao.

“Mimi ni yatima, nimepoteza wazazi wangu wote wawili nikiwa bado mdogo sana, bila Serikali nisingeweza kusoma kabisa … hivyo ninawaomba wale ambao hawajaanza kurejesha, au wanaorejesha kwa wasiwasi kuanza kurejesha,” amesema Khadija.

Ni Nini maoni yako juu ya huu ujio wa fichua wadaiwa sugu wa HESLB.


Pia soma==>> Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu
Sasa kama hizo kampuni wana submit paye na NSSF ambapo wanaambatanisha majina ya wafanyakazi wao, kwanini wasiende huko? Au wanataka zile kampuni ambazo hazijasajiriwa za kijanjajanja
 
kwenye ile fomu ya mkopo hatukuwa na kipengele ya kwamba ukimaliza chuo nitakuajiri, sharti ni kwamba baada ya kumaliza tu chuo ndani ya miezi 24 unaanza kufanya mrejesho
Na wawatafute sasa wenyewe sio kusumbua watu, kisa nini kuomba watu wawataje.
Au na hilo nalo kwenye fomu ya mkopo lilikuwepo?
 
hivi kati ya mimi na wewe nani hana akili? wewe chuo ulienda kutafuta cheti au maarifa?
Maarifa ya uchanganuzi wa sentesi kwa njia ya matawi!, haya nielekezee wapi niyaaply!. We zombie...😅
 
Back
Top Bottom