Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hiyo roho mkuu..Mimi nilikula mishahara miwili tu mizuri baada ya hapo bodi wakafanya yao da inaumiza ila tamaliza tu uzuri siku hazigandi.
Ila kuna mshikaji wangu tumeajiriwa mkoa mmojq wilaya tofauti.Bado hajaanza kukatwa sijui nimsanue aise.
Yaan hata nimuone mtu anafanya kazi na anadaiwa siwez kumchomesha aise maana najua hata huo mshahara wenyewe sidhan kama unatosha kukidh mahitaji...yan nimchomeshe mtu aliesomeshwa kwa kodi za wananchi na wakat kuna wezi wa serikalin kibaoWanaongea kama mende zilizokunywa sumu
Wadaiwa wengi hawna ajira zinazoeleweka na vipato vyao ni duni sana sasa sijui wtapewa nini hao bodi ya mikopo