Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu

Shida hamjaweka dau
 
Uwe na siku njema.
Na we pia kaka.
Ila wajitahid kuweka mifumo mizur ili kuepusha loop holes kama hiz za matumiz mabaya ya pesa za umma kwa kigezo cha kutafuta wadeni wao.
Maana mwisho wa siku mnazundua kampeni za mamilion ili kurudisha pesa ambazo hamna uhakika kama kampeni hizo zitafanikiwa...
Mnazidi kutumia pesa ambazo hazikupaswa kutumika ndio maana wemgine tunaona ubadhirifu huu ni sawa na wizi tu
 
Hapa wangewatafuta Mana database wanayo wawasiliwane nao, Kama hawana kazi iwatafutie kazi ili wakate hela zao.
Mie nashangaa huko juu Kuna hela za Mana zinapigwa Ila hawaanzishi kampeni kuwa acheni wizi wa Kodi za wananchi ili vijana wasomee.
Waza Kuna mtu anakodi software kutoka India kwa bilioni 78 just kufuatilia umeme umekatika wapi..
Hatujawa serious na kusimamia Mali zetu kwa wachungu.
Kwanza mfano chai ikulu bajeti yake ni bilioni ngapi.

Hela tunazonunua magoli tungesomesha vijana wangapi may be.

Tuweni serious kufuatilia hela ambazo huwa cag anaibua jamani kuwa zimetumika vibaya hao watu wafukuzwe kazi,wafungwe, wengine wanyongwe, pia tuna miktaba Kama 200 ya ovyo tuiweke wazi tu renew iyo contracts kwa terms zenye manufaa na nchi yetu.
Mbona dp world walisemehewa Kodi na mktaba wa milele sijui kelele zikapugwa ndio ikakubalika walipe na hatujui Kama wanalipa.
So why na wasomi wasisamehewe hela Mana Kodi za ama pesa za watanzania na sio za mtu binafsi.
Naweza nikaandika mpaka kesho.kuna symbion, epa,iptl etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…