Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu

Yaan ,
Wanakopesha bila kua na data base ya wakopeshwaji wapo wapi..
Imeeona kaka?? Imashangaza sana kwakwel.
Siku zoteee Mimi huona pesa za HESLB Ni Kama vile GRANTS😊
Uko sahihi.
Na hii ni mitazamo walio nayo hata hao wanaoitwa wakopeshwaji.
Kwakifupi zoezi la kukopesha pesa ili lionekane serious, kwanza ilitakiwa kuwe hata na dhamana zinazoshikiliwa ili mtu awe makini kujua kweli huu ni mkopo. Tofauti na hapo hiz ni grants tu.
 
Kuna sisi tulionewaga sana wakati naapply chuo niliapply Government Sponsorship nikapata nikasoma
Hii sheria ya bodi ya mikopo ilivyoanzishwa na sisi tukaingizwa eti tulikopeshwa ingawaje waliniletea deni 1.8m ilikuwa only pesa ya kujikimu nashukuru mwajiri wangu lilikuwa shirika la kimataifa waliamua kunilipia kwa mara moja sijua nani aliwaambia nafanya kazi kwenye ile taasisi nikawa nahisi labda walipata data zangu nssf.
Kwakuwasaidia sasa nawashaur
1.Nendeni Brela mtapata data za wadaiwa walioamua kujiajiri kwa kufungua makampuni .
2. TRA database ya TIN mtakutana nao huko wengine wanalipa kodi za biashara zao
. 3. NIDA huko mtapata adress za wengi tu ingawaje wanaweza kuwa hawana vipato (nyie HESLB mnishukuru kwa hizi code nilizowapa manake najua hapo hamna akili za kufikiria lingine zaidi ya jinsi ya kupiga fedha).

Najua kwa waajiriwa ni rahisi kuwapata hususani serikalini manake CAG aliwasaidia kuna kipindi ilikuwa ni hoja ya ukaguzi kama ofisi ya serikali ilikuwa imeajiri mtumishi ambaye anamkopo na halipi.
Ila kwa wale ambao hawana ajira ya uhakika ni ngumu kulipa huo mkopo hata kama anakipato hususani waliojiajiri wekeni kipengele kwenye fomu za maombi mtu akishaanza kuingiza kipato (muweke na kiwango cha kipato tangazo lenu limekaa kipuudhi eti yeyote anayeingiza kipato lazima muweke kiasi ) lazima afanye utaratibu wa kulipa mkopo huo na asipofanya hivyo wakati mnaushahidi anaingiza kipato cha kiasi hicho atashtakiwa mahakamani kulazimishwa kulipa.
Hata hivyo kuna hela nyingi sana zinafanyiwa ufisadi kwenye taasisi mbalimbali za serikali ndio maana wanufaika wengine wanaona hamna umuhimu wa kulipa huo mkopo.
Nyie wenyewe HESLB kuna waliokuwa watumishi hapo mmekopeshana mahela hapo mengi tu na hawajalipa na wameacha kazi kuna mmoja namjua alikuwa mhasibu hapo akakopa 130 milioni akaacha kazi sasahivi anafanya mishe zake na yupo vizuri sana pia alinidokezaga alipokuwaga hapo alikuwa na wanafunzi wake hewa anawapa mikopo alikuwa anajua mwenyewe alivyokuwa anazichukua hizo hela zao akaamua kuongeza na mkopo wa wafanyakazi wa hapo ndio akasepa
 
Hapa wangewatafuta Mana database wanayo wawasiliwane nao, Kama hawana kazi iwatafutie kazi ili wakate hela zao.
Mie nashangaa huko juu Kuna hela za Mana zinapigwa Ila hawaanzishi kampeni kuwa acheni wizi wa Kodi za wananchi ili vijana wasomee.
Waza Kuna mtu anakodi software kutoka India kwa bilioni 78 just kufuatilia umeme umekatika wapi..
Hatujawa serious na kusimamia Mali zetu kwa wachungu.
Kwanza mfano chai ikulu bajeti yake ni bilioni ngapi.

Hela tunazonunua magoli tungesomesha vijana wangapi may be.

Tuweni serious kufuatilia hela ambazo huwa cag anaibua jamani kuwa zimetumika vibaya hao watu wafukuzwe kazi,wafungwe, wengine wanyongwe, pia tuna miktaba Kama 200 ya ovyo tuiweke wazi tu renew iyo contracts kwa terms zenye manufaa na nchi yetu.
Mbona dp world walisemehewa Kodi na mktaba wa milele sijui kelele zikapugwa ndio ikakubalika walipe na hatujui Kama wanalipa.
So why na wasomi wasisamehewe hela Mana Kodi za ama pesa za watanzania na sio za mtu binafsi.
Naweza nikaandika mpaka kesho.kuna symbion, epa,iptl etc
Ni vichekesho sana nchi hii kaka
 
Imeeona kaka?? Imashangaza sana kwakwel.

Uko sahihi.
Na hii ni mitazamo walio nayo hata hao wanaoitwa wakopeshwaji.
Kwakifupi zoezi la kukopesha pesa ili lionekane serious, kwanza ilitakiwa kuwe hata na dhamana zinazoshikiliwa ili mtu awe makini kujua kweli huu ni mkopo. Tofauti na hapo hiz ni grants tu.
Bonds
yaan hati ya nyumba au mjengo , kiwanja au Vito vya thamani ama mifugo.
 
Hapa wangewatafuta Mana database wanayo wawasiliwane nao, Kama hawana kazi iwatafutie kazi ili wakate hela zao.
Mie nashangaa huko juu Kuna hela za Mana zinapigwa Ila hawaanzishi kampeni kuwa acheni wizi wa Kodi za wananchi ili vijana wasomee.
Waza Kuna mtu anakodi software kutoka India kwa bilioni 78 just kufuatilia umeme umekatika wapi..
Hatujawa serious na kusimamia Mali zetu kwa wachungu.
Kwanza mfano chai ikulu bajeti yake ni bilioni ngapi.

Hela tunazonunua magoli tungesomesha vijana wangapi may be.

Tuweni serious kufuatilia hela ambazo huwa cag anaibua jamani kuwa zimetumika vibaya hao watu wafukuzwe kazi,wafungwe, wengine wanyongwe, pia tuna miktaba Kama 200 ya ovyo tuiweke wazi tu renew iyo contracts kwa terms zenye manufaa na nchi yetu.
Mbona dp world walisemehewa Kodi na mktaba wa milele sijui kelele zikapugwa ndio ikakubalika walipe na hatujui Kama wanalipa.
So why na wasomi wasisamehewe hela Mana Kodi za ama pesa za watanzania na sio za mtu binafsi.
Naweza nikaandika mpaka kesho.kuna symbion, epa,iptl etc
Naona hayo madeni yafutwe maana Ni kidogo mno na kabisaaa kabisaaa tuna mengi Sanaa ya kufanyia kazi Kama ilivyo eleza
 
Yaan ,
Wanakopesha bila kua na data base ya wakopeshwaji wapo wapi..
Siku zoteee Mimi huona pesa za HESLB Ni Kama vile GRANTS😊
Sasa
Naona hayo madeni yafutwe maana Ni kidogo mno na kabisaaa kabisaaa tuna mengi Sanaa ya kufanyia kazi Kama ilivyo eleza
Umeongea point moja matata sana.
Ila Ujue hicho kiproject cha kufuatilia wadaiwa wenye vipato ni dili jamaa wanapiga posho za kufa mtu.
Hao HESLB kuna waliokuwa wafanyakazi hapo wamekopa Hel ndefu wamesepa wanashindwa kuwadai, wana revolving fund ya kukopeshana hapo mhudumu wa ofisi anaweza kupa hadi milioni 50.
 
Sasa

Umeongea point moja matata sana.
Ila Ujue hicho kiproject cha kufuatilia wadaiwa wenye vipato ni dili jamaa wanapiga posho za kufa mtu.
Hao HESLB kuna waliokuwa wafanyakazi hapo wamekopa Hel ndefu wamesepa wanashindwa kuwadai, wana revolving fund ya kukopeshana hapo mhudumu wa ofisi anaweza kupa hadi milioni 50.
Aiseee,
Serikali inabidi walifanyie kazi mtu akibahatika kufika chuo kikuu apewe pesa Kama grants tu
 
Hawao serious ,hivi unaweza kumkopesha mtu halafu usiwe na details zake
Details ulizonazo.akowa shuleni....kwenye ajira hasa binafsi uta trace vipi ?? Labda kwa uchache utumoe database pssf na nssf...ingawa wengine hawapeleki michango huko hada sekta binafsi....wengi hawana ajira rasmi
 
Details ulizonazo.akowa shuleni....kwenye ajira hasa binafsi uta trace vipi ?? Labda kwa uchache utumoe database pssf na nssf...ingawa wengine hawapeleki michango huko hada sekta binafsi....wengi hawana ajira rasmi
Yaa Ni kweli,
Kuna mdau mmoja alinichekesha alinambia NSSF na PSSF yake Ni M-PESA na TIGO PESA account zake

All in all,
Serikali ingekua inatoa hizi mikopo Kama grants kwa wanao bahatika kwenda UNIVERSITY na serikali ijikite kwenye ku utilize our resources effectively
 
Back
Top Bottom