DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Duuh!
Kuna siku tulikaa kijiwe tukawa tunapiga hesabu kiasi ambacho bodi inadai kwenye hicho kijiwe tu ikawa kama milioni 60+ ambayo haiwezi kulipwa kirahisi labda wawe wanakata kwenye mikeka wanayoshinda na ni kitu kigumu mno.