DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Yaani wanufaika wa mikopo ya bodi wengi ni kama vichaa yaani maisha yamewagonga haswa... Tuachen masihara kuna watu maisha yamewakataa aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa yeyote ya serkali hailiwi kirahisi, ni suala la muda wataanza kufuatili.Kuna taarifa za kwamba BODI ya MIKOPO inaanza kuingia mtaani.
Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu inataka kushirikiana na serikali za mitaa kuwatafuta watu wasio na ajira rasmi na walikuwa wanufaida wa mikopo ili iwadai pesa zao.
Mtu amemaliza Chuo kikuu hela ya vocha tu inamshinda ataweza kulipa deni la Mkopo?
Hahaaa! Duh!Mimi mwenyewe ndo mwenyekiti wameyakanyaga
Auze shamba la nani? Alitegemea ajira aweke akiba anunue shamba lake.Aende tu akauze shamba alipe bodi hakuna namna,
Wanakamata mali/dhamana uliyoweka. Wanafunzi wanaweka nini?Jamani hata benki zina mikopo chechefu lakini! Na ikifika wakati mrefu wanafanyaje huwa?! 😄
Mnatajana 😂😂Kuna jamaa anaitwa mbilinyi anauza viwanja kibaha hapo,anadaiwa wamfate
Ni tapeli la kutosha,waende wakachukue Chao,alisomeshwa na bodi mshamba yule halafu hataki kulipa miaka zaidi ya kumi Sasa,ana kampuni inaitwa land general
Mdhamini wako atatoa maelezo yaliyojitosheleza,Auze shamba la nani? Alitegemea ajira aweke akiba anunue shamba lake.
Kabet upate 12M, kwani ulifikiri unapewa bure bila kurudisha? Utashangaa wewe ndio unatembezewa kificho mpaka utashangaa, uza mang'ombe hayo urudishe PesaMtu aje kunisumbua huku umasaini aiseee ntamtembezea kifiro hataamini 😏😏😏12M natoa wapi mm mtoto wa mfugaji
DuhKuna jamaa anaitwa mbilinyi anauza viwanja kibaha hapo,anadaiwa wamfate
Ni tapeli la kutosha,waende wakachukue Chao,alisomeshwa na bodi mshamba yule halafu hataki kulipa miaka zaidi ya kumi Sasa,ana kampuni inaitwa land general
Silipi😏😏na hamna kitu utafanya, huenda ikawa hata mlikuwa hamuweki maana hata sijawahi ionaKabet upate 12M, kwani ulifikiri unapewa bure bila kurudisha? Utashangaa wewe ndio unatembezewa kificho mpaka utashangaa, uza mang'ombe hayo urudishe Pesa
Kuna taarifa za kwamba BODI ya MIKOPO inaanza kuingia mtaani.
Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu inataka kushirikiana na serikali za mitaa kuwatafuta watu wasio na ajira rasmi na walikuwa wanufaida wa mikopo ili iwadai pesa zao.
Mtu amemaliza Chuo kikuu hela ya vocha tu inamshinda ataweza kulipa deni la Mkopo?
Jiandae kisaikolojia ukigongewa mlango,Silipi😏😏na hamna kitu utafanya, huenda ikawa hata mlikuwa hamuweki maana hata sijawahi iona
Sina makazi ya kueleweka😁😁do you know transhumance?Jiandae kisaikolojia ukigongewa mlango,