Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,859
- 4,539
Wakuu habari za wakati,
Iko hivi, kipindi cha maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwenye mkataba ulisema kuwa HESLB wataanza kumkata mkopaji baada ya miezi 24 toka tarehe ya kuhitimu kwake mafunzo, iwe ameajiriwa ama amejiajiri.
Sasa kinachoshangaza HESLB wameanza kukata pesa kwa vijana walioajiriwa na diploma hali ya kuwa hata vyeti vya degree hawajapata na wala hawajawasilisha kwa waajiri wao. Ikumbukwe vijana waliomba mikopo ili waweze kusoma elimu ya juu na inabidi wakatwe pesa kutokana na matunda ya level hiyo ya elimu yaliombea mikopo.
Hii inashangaza sana.
Iko hivi, kipindi cha maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwenye mkataba ulisema kuwa HESLB wataanza kumkata mkopaji baada ya miezi 24 toka tarehe ya kuhitimu kwake mafunzo, iwe ameajiriwa ama amejiajiri.
Sasa kinachoshangaza HESLB wameanza kukata pesa kwa vijana walioajiriwa na diploma hali ya kuwa hata vyeti vya degree hawajapata na wala hawajawasilisha kwa waajiri wao. Ikumbukwe vijana waliomba mikopo ili waweze kusoma elimu ya juu na inabidi wakatwe pesa kutokana na matunda ya level hiyo ya elimu yaliombea mikopo.
Hii inashangaza sana.