Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Mei mosi Mheshimiwa Raisi alisema kwamba wanaondoa retension fee kwenye mikopo ya vyuo vikuu.. Kwa akili yangu ndogo nilitegemea bodi ya mikopo ingetoa mwongozo wa kipi kinafuata kam taasisi zingine zinavyofanya pale wanapopewa muongozo na viongozi wao..
Kinyume naoma mwezi wa pili huu unaenda watu wapo kimya..hiki ni kiburi au ni nini?
Kinyume naoma mwezi wa pili huu unaenda watu wapo kimya..hiki ni kiburi au ni nini?